General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Kiukweli huwa mnatutia genye sana na hizi avatar.
Yani unatamani kumfuata mtu PM kisa avatar yake.
Afu mkija humu mnalalamika mnasumbuliwa. Si muweke avatar ya sura mbaya muone km kuna mtu atakusumbua?
Yani unatamani kumfuata mtu PM kisa avatar yake.
Afu mkija humu mnalalamika mnasumbuliwa. Si muweke avatar ya sura mbaya muone km kuna mtu atakusumbua?