Wadada wa JF mna maana gani kutumia avatar za sura nzuri ambazo sio zenu?

eee dem nilikuwa nataka nimtokee alikuwa na sura mbaya nikajua ,atajaa kingi afu ntapiga kirahisi, du kinyume chake ikawa dharau na kejeli, nilichofanya ili kuharibu kabisa nikamwambia ananuka K, ilikuwa utata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we sio mtu mzuri kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we sio mtu mzuri kabisa
niliona kama mbaya acha iwe mbaya......................mtoto m'baya analeta mashauzi, wakati watoto wazuri wanakuja geto wanalilia ukuni
 
niliona kama mbaya acha iwe mbaya......................mtoto m'baya analeta mashauzi, wakati watoto wazuri wanakuja geto wanalilia ukuni
hahaha sio kwa k kunuka jamaan
 
Hapa sasa naamini kuwa kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, hahukuwa na haja ya yeye kukutumia picha ili umuone ambaye hajakukubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…