[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we sio mtu mzuri kabisaeee dem nilikuwa nataka nimtokee alikuwa na sura mbaya nikajua ,atajaa kingi afu ntapiga kirahisi, du kinyume chake ikawa dharau na kejeli, nilichofanya ili kuharibu kabisa nikamwambia ananuka K, ilikuwa utata
waanze wao kwanzaAnzeni kuweka zenu kwanza....
niliona kama mbaya acha iwe mbaya......................mtoto m'baya analeta mashauzi, wakati watoto wazuri wanakuja geto wanalilia ukuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we sio mtu mzuri kabisa
hahaha sio kwa k kunuka jamaanniliona kama mbaya acha iwe mbaya......................mtoto m'baya analeta mashauzi, wakati watoto wazuri wanakuja geto wanalilia ukuni
nilivomwabia hivo alileta zogo hadi nikaona soo......kumbe hampendi kuambiwa unanuka Khahaha sio kwa k kunuka jamaan
utamwambiaje hivyo mtu asiyenuka lazima akuletee zogonilivomwabia hivo alileta zogo hadi nikaona soo......kumbe hampendi kuambiwa unanuka K
[emoji15] [emoji15] [emoji15]niliona kama mbaya acha iwe mbaya......................mtoto m'baya analeta mashauzi, wakati watoto wazuri wanakuja geto wanalilia ukuni
Kama kweli usemavho basi umetisha mrembo. Uko vizuri mashaalah!Mbona mimi yangu hiyo siwezi kuweka sura ya mtu mwingine wakati mwenyewe sura ninayo
Hapa sasa naamini kuwa kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, hahukuwa na haja ya yeye kukutumia picha ili umuone ambaye hajakukubali.Ni kweli wanaboa sana..!
Kama yule niliyempendaga akanikataa eti kisa mimi najua kusoma na kuandika tu.
Yaani kumbe ile picha huwa siyo yake duh.!
Niligundua hilo baada ya kupata mpenzi mpya hapa Jf ambaye aliona ile posti yangu ya kwamba "nampenda sana (iiduR)"
Kumbe wanafahamiana na wako kwa group moja watsapp akanionyesha jina lake halisi na picha yake original nilichoka.!
Kumbe ndo mchezo wao.[emoji119]
Sa hivi nimefunga breki kwa huyu ambaye ananipenda na avatar yake ni original.
hahhaha tutakimbizana sijambo dada akee unaendeleajeHawathubutu kuweka hata kucha
Hujambo mdogo wangu
sisi n wanafki sana yaanHapa sasa naamini kuwa kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, hahukuwa na haja ya yeye kukutumia picha ili umuone ambaye hajakukubali.
yani hadi tunatia aibu.sisi n wanafki sana yaan
NdioUlitaka watu waweke sura zao hapa?
Rafiki kwenu ni wapi?Makapuku forum?[emoji53][emoji53][emoji53]cuzoo twende kule kwetu kuna video nimeiweka mdada mzuri acha tu anachokifanya
Rafiki ujue ushilawadu wako mpk kwangu sasa hivi nakugawaRafiki kwenu ni wapi?Makapuku forum?[emoji53][emoji53][emoji53]
Msalimie dada angu please!Rafiki ujue ushilawadu wako mpk kwangu sasa hivi nakugawa