Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we sio mtu mzuri kabisaeee dem nilikuwa nataka nimtokee alikuwa na sura mbaya nikajua ,atajaa kingi afu ntapiga kirahisi, du kinyume chake ikawa dharau na kejeli, nilichofanya ili kuharibu kabisa nikamwambia ananuka K, ilikuwa utata