Wadada wa JF mna maana gani kutumia avatar za sura nzuri ambazo sio zenu?

usijal Antonio utanijua tu sura yangu
Hana mamlaka ya kukuona. Aniulize Mimi mwenye Shunie mwenyewe ni mueleze jinsi ulivyo, tena angejua wewe ni mzuri kushinda hata hiyo pic ulioweka hangeandika Uzi wake
 
ilikua haihusiani kuja kumwanika hivyo
 
Ungekausha Mbwa dume... Siyo poa kabisa...




Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…