Wadada wa JF mna maana gani kutumia avatar za sura nzuri ambazo sio zenu?


Mbwa dume Wakwanza ni Wakwanza tu wapili noway hukuwa na jinsi na ulishakataliwa na Wakwanza


Comment yako inaonesha dhahiri still una kinyongo na rubii orelse you still love her

Kumfuatilia mtu ni ishara ya kutokujiamini
Hakukuwa na sababu ya kuelezea yote hayo yanayomuhusu rubii
Mbona rubii hahangaiki nawewe kukusema sema wala kukutajataja kulikoni wewe uhangaike nae sasa???
Umuache apumue aseeh

No need to defend yourself ushapata mtu over.
Ni mtazamo tu
Opinions are not fact


Cc Smart911
 
Kuna mademu wana sura za baba zao........mbaya zaidi unakuta baba ni badface....demu unakuta sura kama bagia,,,,alafu ukitoa salam anaangalia pembeni.............shame to you ugly girls...................
 
kumbe ni rubii
 
km kuna demu wa JF nilishawahi mfuata PM anihaibishe hapa.
Sinaga hizo tabia.
Mi nakuchama humu humu
Sky Eclat njoo mama
Not good bana ni kama self defense vile

Live your life especially for you men
Unajua sisi wanawake ndo tupo na longolongo nyingi eeeh so when it comes to a man ntantari ntantarira nyingi kidogo I doubt

Cc Smart911
 
Mimi mwanaume halisi sihusiki na huu utoto wa baadhi ya wanaume suruali.... unataka avatar pic yake iwe OG ili iweje? kidumu chama cha marijari
 
Not good bana ni kama self defense vile

Live your life especially for you men
Unajua sisi wanawake ndo tupo na longolongo nyingi eeeh so when it comes to a man ntantari ntantarira nyingi kidogo I doubt

Cc Smart911
hahahah
unajua wengine tumejifunza ujinga mwingi humu.
Najikuta nimeiga vitabia vingi humu.
Sky Eclat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…