Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Una uhakika upi kama hao uliowaorodhesha ni wanawake au wasichana?
 
Bora hata usingeandika list yako... Ningeku PM kabla hata hujapost... Bas tena
 
Well sasa inabidi ujue kua PM yangu imemis kubadilishana naww izo namba za bajaji na majina halisi ya mmliki wa bajaji
Mile natumia namba ya wakala.
Unajua simu yangu tigo waliichukua, hivo wamenipa adhabu ya kutumia namba ya wakala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…