Thanks Ben-10 wanguSawa nmepokea kwa mikono miwili ,kichwa ,miguu ,moyo ,kila kitu , what i can assure you is that ALL OF MY HEART imekuita na labda niseme hamna hata chemba moja ilobakia kukupinga ,it is simply because you are Captivating
Aaahhhh Iyo Ben-10 yann tena , anyway kwakua umeisema wewe nimeipokea kwa mikono miwili!!Thanks Ben-10 wangu
Tuendelee bhanaAaahhhh Iyo Ben-10 yann tena , anyway kwakua umeisema wewe nimeipokea kwa mikono miwili!!
Kwan ulifikiri nitaacha kuendelea ?? Akuuu kuna vitu sio vya kususiwa ,wee ukiniita hata mtumwa nitafurahi kwakua u malikia , je umesahau furaha ya mtumwa nikutaka japo awe karibu na malikia ili aweze kufaidi mema yanchi??? Kwaivo yote kwa yote nikupata fursa ya kukutumikia wewe mwanamke ,you know your curves need to be worshipped!!Tuendelee bhana
GENTAMYCINE njoo huku mtaniKumbe DJ sepetu ni mwanamke.
Asante sana tunakusubiria uje utoe tu mahariBora ujamtaja khantwe ninavyompenda
Nipo nimejaa teleUpo mrembo
Plz nnaomba ulifute jina la Mzigua90 kwenye hiyo list yako... Huyo wa kwangu mie for future use
Ha ha haaaaaa
Unataka nije PM nikuambie nini?
Haya nakusalimu.. hujambo?
chuma cha mjerumani njoo unifundishe PM inatumikaje.. nimsalimie huyu mwenzetu wa humu.
Ile avatar ya rasta ndo nimekuzoeaNipo nimejaa tele
Nishaisahau kitamboIle avatar ya rasta ndo nimekuzoea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwenzio kwa siku zinaingia pm sio chini ya kumi, za maonyo lakini!ID yangu ya zamani ilikuwa na Pm za kutosha ila hii mpyay nina pm moja tu tena ya moderator akinipa maelekezo.
Huwa unawashwa m..Ku..nduDada naomba uni pm..
Nisamehe ijamii kumbe Mzigua90 ni wakoPlz nnaomba ulifute jina la Mzigua90 kwenye hiyo list yako... Huyo wa kwangu mie for future use
Duh sio kwa bango ilo ulilompaUnadhani wanawake wa Jf ni mandezi kiasi hiki!
Hata kama tuko nyuma ya keyboard, tunakujua mpaka mfukoni kwako kulivyo.
Baba, tafuta pesa....hizi sixpack waachie waliojichanga tayari.
Mwanaume asie na pesa, Pm ataipata kwa modereta kipindi anapewa sababu ya kwanini kala ban, otherwise.....utaisikia jukwaani tu.
Tena modereta mwenyewe wa kiume.
Ndiyo atafute akizipata automatic sisi tutajuaAtutokee hapa.
Atafute pesa ili tuje pm kwake