Neno la busara sanaMuondoe Demiss kwenye list, bila hivyo sahau msaada wa Mshana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Aliniweka beb wangu mmoja wa mods akanifuta [emoji23][emoji23]Bora hujamuweka Mzigua90 hapo kwenye list yako
Afu weweEbu mpm mzigua90 akupe maelezo ya kufunga au mwambie akupm
Abeee. Kumbe wana whatsapp group za kutukaangaa?Sawa nakuja . usisahau Ku screenshot pindi tuu nitakapokuja ili uwatumia whatsup group.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe tuko wengi, afadhali
Pkpk posta [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu,
Una mwaka mmoja tu unalalama hivyo wakati watu tuna miaka 9 hapa jukwaani na hizo PM hazijawai kukosea njia.
godforsaken!
KheeeeMi mwenyewe nimeacha sababu ya bundle wakunyumba
Nielekeze tu kwa kweli maana sioni menu wala nini au ndo mpaka nitumie web sio app?Afu wewe
weka tu kwakweli maana hakuna namna... mwambie afanye yote lkn aniachi wewe..Niweke pm yakohapa?
Yeah tumia web.Nielekeze tu kwa kweli maana sioni menu wala nini au ndo mpaka nitumie web sio app?
Wa mtaani ndo tuliomo humu tuliza mshonoPeople u are not seriou. Mtaani wamejaa wanawake wa kila aina hat wa kusoma wapo tu ni kubip unapigiwa, wewe waangaina na wa JF?
Hao wote uliowatag ni wanawake au ni macho yangu yana kengeza?Jamani jamani wadada wa Jamii For life naomba msaada wenu please.
Nimejiunga Jf Dec 1 2016 Alhamis leo ni march 19 2018 nina kama mwaka miezi minne na siku 18 lakini toka siku hiyo sijawah pata pm yoyoye ile! π‘π‘ Hata mtu kukosea njia akawa kani pm mm haijatokea hata salamu tu sipatiiiiπ±
Wengine wanapata wapenz, wanabebishana wanakulana, wanamahaba niue ila KASORO DAVINCI TU! WHY?????
Mshana Jr nitikisie tunguri nami nipate kanjiwa kamoja ka kubebishana nako humu
Taarifa iwafkie..
- Jolie jolie
- Numbisa
- Demiss
- Mama aabrina
- Geniveros
- Demi
- Shunie
- Miss natafuta
- Inna
- Maserati
- Minah24
- Nahuja
- Carbamazepine
- Cute b
- Miss chagga
- Sakayo
- Witness j
- Victor wa happy
- Cocochanel
- Madame B
- Lovely mumu
- Dj sepetu
- Mareth
- Madam S
- Gfsonwin
- Mahondaw
- Ukhuty
- Kapeace
- Nitarudi kuendekeza....
- Gentamycine
- V putin
- Limsambwanda
- Tumosa
- Y2n
- Majoto
- Kioo
- Mambembe
- beira boy
- The list
- Yeth lotah
- Padri mcharo
- Kisandu junior
Una uhakika gani hawa wote uliowatag ni wanawake? Inamaana unataka wote wakupm? Namuona umemuunganisha hadi Jolie Jolie. Jomoni...Jamani jamani wadada wa Jamii For life naomba msaada wenu please.
Nimejiunga Jf Dec 1 2016 Alhamis leo ni march 19 2018 nina kama mwaka miezi minne na siku 18 lakini toka siku hiyo sijawah pata pm yoyoye ile! π‘π‘ Hata mtu kukosea njia akawa kani pm mm haijatokea hata salamu tu sipatiiiiπ±
Wengine wanapata wapenz, wanabebishana wanakulana, wanamahaba niue ila KASORO DAVINCI TU! WHY?????
Mshana Jr nitikisie tunguri nami nipate kanjiwa kamoja ka kubebishana nako humu
Taarifa iwafkie..
- Jolie jolie
- Numbisa
- Demiss
- Mama aabrina
- Geniveros
- Demi
- Shunie
- Miss natafuta
- Inna
- Maserati
- Minah24
- Nahuja
- Carbamazepine
- Cute b
- Miss chagga
- Sakayo
- Witness j
- Victor wa happy
- Cocochanel
- Madame B
- Lovely mumu
- Dj sepetu
- Mareth
- Madam S
- Gfsonwin
- Mahondaw
- Ukhuty
- Kapeace
- Nitarudi kuendekeza....
- Gentamycine
- V putin
- Limsambwanda
- Tumosa
- Y2n
- Majoto
- Kioo
- Mambembe
- beira boy
- The list
- Yeth lotah
- Padri mcharo
- Kisandu junior