Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Bora hujamuweka Mzigua90 hapo kwenye list yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Aliniweka beb wangu mmoja wa mods akanifuta [emoji23][emoji23]
 
Funga na kuomba mungu atatenda muujiza mi ninae wa kumbebisha nanenepa tu
 
Mkuu,
Una mwaka mmoja tu unalalama hivyo wakati watu tuna miaka 9 hapa jukwaani na hizo PM hazijawai kukosea njia.

godforsaken!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa utapataje pm kama we mwenyewe hujatulia.
 
Jamani jamani wadada wa Jamii For life naomba msaada wenu please.
Nimejiunga Jf Dec 1 2016 Alhamis leo ni march 19 2018 nina kama mwaka miezi minne na siku 18 lakini toka siku hiyo sijawah pata pm yoyoye ile! 😡😡 Hata mtu kukosea njia akawa kani pm mm haijatokea hata salamu tu sipatiiii😱
Wengine wanapata wapenz, wanabebishana wanakulana, wanamahaba niue ila KASORO DAVINCI TU! WHY?????
Mshana Jr nitikisie tunguri nami nipate kanjiwa kamoja ka kubebishana nako humu
Taarifa iwafkie..
  • Jolie jolie
  • Numbisa
  • Demiss
  • Mama aabrina
  • Geniveros
  • Demi
  • Shunie
  • Miss natafuta
  • Inna
  • Maserati
  • Minah24
  • Nahuja
  • Carbamazepine
  • Cute b
  • Miss chagga
  • Sakayo
  • Witness j
  • Victor wa happy
  • Cocochanel
  • Madame B
  • Lovely mumu
  • Dj sepetu
  • Mareth
  • Madam S
  • Gfsonwin
  • Mahondaw
  • Ukhuty
  • Kapeace
  • Nitarudi kuendekeza....
  • Gentamycine
  • V putin
  • Limsambwanda
  • Tumosa
  • Y2n
  • Majoto
  • Kioo
  • Mambembe
  • beira boy
  • The list
  • Yeth lotah
  • Padri mcharo
  • Kisandu junior
Hao wote uliowatag ni wanawake au ni macho yangu yana kengeza?
 
Jamani jamani wadada wa Jamii For life naomba msaada wenu please.
Nimejiunga Jf Dec 1 2016 Alhamis leo ni march 19 2018 nina kama mwaka miezi minne na siku 18 lakini toka siku hiyo sijawah pata pm yoyoye ile! 😡😡 Hata mtu kukosea njia akawa kani pm mm haijatokea hata salamu tu sipatiiii😱
Wengine wanapata wapenz, wanabebishana wanakulana, wanamahaba niue ila KASORO DAVINCI TU! WHY?????
Mshana Jr nitikisie tunguri nami nipate kanjiwa kamoja ka kubebishana nako humu
Taarifa iwafkie..
  • Jolie jolie
  • Numbisa
  • Demiss
  • Mama aabrina
  • Geniveros
  • Demi
  • Shunie
  • Miss natafuta
  • Inna
  • Maserati
  • Minah24
  • Nahuja
  • Carbamazepine
  • Cute b
  • Miss chagga
  • Sakayo
  • Witness j
  • Victor wa happy
  • Cocochanel
  • Madame B
  • Lovely mumu
  • Dj sepetu
  • Mareth
  • Madam S
  • Gfsonwin
  • Mahondaw
  • Ukhuty
  • Kapeace
  • Nitarudi kuendekeza....
  • Gentamycine
  • V putin
  • Limsambwanda
  • Tumosa
  • Y2n
  • Majoto
  • Kioo
  • Mambembe
  • beira boy
  • The list
  • Yeth lotah
  • Padri mcharo
  • Kisandu junior
Una uhakika gani hawa wote uliowatag ni wanawake? Inamaana unataka wote wakupm? Namuona umemuunganisha hadi Jolie Jolie. Jomoni...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo yanabadlika sana!! yaan mwanaume unaanza kuomba kutongozwa kwel jaman!!! Wanaume wengine sijui mapepo ya ushoga sijui nn!!! Aise!!! Mbona wengne hatujawah hata kuwaza kuzitumia PM zetu kwa kutongoza hum jf yaan tunawaza kuhabalika tu... Ww mwanaume mwenzetu daa!!!!
 
Back
Top Bottom