Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Acha kabisaaaaa eti mkuu wamada analalamika daaaaaahh.Naona unaitwa warembo tuu
Ya ukweli na uwaziDuuuh hili jibu linatoka nchi gani vile?
Tanzania ya viwanda?
Tanzania ya maisha bora?
Tanzania ya ukweli na uwazi?
Sawa mkuu maana naona mhusika amepewa jibu lililo Shiba kabisaYa ukweli na uwazi
Wanaombwaga ivo tyu kama kalam?? waachie wenyewe wajeNaomba mmoja mkuu
Hahahaaaa wanawake wa jf wana talent ya kusmell mfuko wa mtuUnadhani wanawake wa Jf ni mandezi kiasi hiki!
Hata kama tuko nyuma ya keyboard, tunakujua mpaka mfukoni kwako kulivyo.
Baba, tafuta pesa....hizi sixpack waachie waliojichanga tayari.
Mwanaume asie na pesa, Pm ataipata kwa modereta kipindi anapewa sababu ya kwanini kala ban, otherwise.....utaisikia jukwaani tu.
Tena modereta mwenyewe wa kiume.
Ndo nani huyo?Hana lolote huyo Ni pm basi Jawilat nikuambie..
Mme wangu !!!Sasa jitahidi ufike kilingeni Msata haraka ila kwenye hiyo list yako kuna mtu naomba umremove kwa sababu za wazi kabisa
Kuna MTU anadai eti kuna vijana huku wamenigegeda wamemtumia na video.yaani nimeshindwa kumdifine. Hao vijana wa kwanza ni kichaa flani. Kumbe kuna watu humu ni vichaa kweli.Daahhh namm leo nmeamka nakuwaza sana ,swali kubwa lilokua linazunguka kichwan mwangu ,ni * yuko wapi huyu mwanamke alojaliwa steki?*
Kumbe tulikua tunatafutana.
Hujaniomba msamaha juzi pm weweNaomba uweke sijawah pm msichsna
Hapa ukisalimia nasikia nimeweka sound proof wa nje hawatasikia.mm hornet fungua pm nikusalimie basi
Si umesema hujawai kutuma pm?Yaaaa nilikuomba msamaha coz nilikuandika vibaya kwenye post ya mshana ww na demisss
Je nilikosea?
Kwani we we unatakaje?Sijawah tumiawa pm ila ww nilikutumia coz niliona nimekosa
pmKunitumia nn Dina..?
Kila la kheriNataka rafiki wa kike (sio mpenz) toka Jf...