Mkuu Da'Vinci,, Mungu kakuamini akakuumba mwanaume; kuwa mwanaume ni kuwa kiongozi, kuwa mwanaume ni kuwa mheshimiwa, kuwa mwanaume ni kuwa kielelezo, kuwa mwanaume ni kuwa na majukumu mengi.
Hapo ulipo timiza wajibu wako kama mwanaume, wanawake watakufuata na kukutamani hadi utahisi ni usumbufu.
Hakuna formula,, ww fanya yalioyakiume kikamilifu utaona utakavyosumbuliwa hata kama utakuwa umeoa. Wewe utajiongezea kazi ya kuwaignore tu.
I mean it kwani yashawahi kunitokea na yanaendelea,,, ignoring ndio level yangu kwasasa, lazima nimheshimu anayenitii, Isaya 4:1 na waebrania 13:4.