Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Unadhani wanawake wa Jf ni mandezi kiasi hiki!
Hata kama tuko nyuma ya keyboard, tunakujua mpaka mfukoni kwako kulivyo.
Baba, tafuta pesa....hizi sixpack waachie waliojichanga tayari.
Mwanaume asie na pesa, Pm ataipata kwa modereta kipindi anapewa sababu ya kwanini kala ban, otherwise.....utaisikia jukwaani tu.
Tena modereta mwenyewe wa kiume.
Hahahaaaa wanawake wa jf wana talent ya kusmell mfuko wa mtu
Hahahaaa
 
Sasa jitahidi ufike kilingeni Msata haraka ila kwenye hiyo list yako kuna mtu naomba umremove kwa sababu za wazi kabisa
Mme wangu !!!

"Wewe thread unajua jinsi gan Mr Kr anavyonipenda naomba hilo utambue"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Daahhh namm leo nmeamka nakuwaza sana ,swali kubwa lilokua linazunguka kichwan mwangu ,ni * yuko wapi huyu mwanamke alojaliwa steki?*

Kumbe tulikua tunatafutana.
Kuna MTU anadai eti kuna vijana huku wamenigegeda wamemtumia na video.yaani nimeshindwa kumdifine. Hao vijana wa kwanza ni kichaa flani. Kumbe kuna watu humu ni vichaa kweli.
 
Mkuu Da'Vinci,, Mungu kakuamini akakuumba mwanaume; kuwa mwanaume ni kuwa kiongozi, kuwa mwanaume ni kuwa mheshimiwa, kuwa mwanaume ni kuwa kielelezo, kuwa mwanaume ni kuwa na majukumu mengi.


Hapo ulipo timiza wajibu wako kama mwanaume, wanawake watakufuata na kukutamani hadi utahisi ni usumbufu.

Hakuna formula,, ww fanya yalioyakiume kikamilifu utaona utakavyosumbuliwa hata kama utakuwa umeoa. Wewe utajiongezea kazi ya kuwaignore tu.

I mean it kwani yashawahi kunitokea na yanaendelea,,, ignoring ndio level yangu kwasasa, lazima nimheshimu anayenitii, Isaya 4:1 na waebrania 13:4.
 
Back
Top Bottom