Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

M
Jamani jamani wadada wa Jamii For life naomba msaada wenu please.
Nimejiunga Jf Dec 1 2016 Alhamis leo ni march 19 2018 nina kama mwaka miezi minne na siku 18 lakini toka siku hiyo sijawah pata pm yoyoye ile! 😡😡 Hata mtu kukosea njia akawa kani pm mm haijatokea hata salamu tu sipatiiii😱
Wengine wanapata wapenz, wanabebishana wanakulana, wanamahaba niue ila KASORO DAVINCI TU! WHY?????
Mshana Jr nitikisie tunguri nami nipate kanjiwa kamoja ka kubebishana nako humu
Taarifa iwafkie..
  • Jolie jolie
  • Numbisa
  • Demiss
  • Mama aabrina
  • Geniveros
  • Demi
  • Shunie
  • Miss natafuta
  • Inna
  • Maserati
  • Minah24
  • Nahuja
  • Carbamazepine
  • Cute b
  • Miss chagga
  • Sakayo
  • Witness j
  • Victor wa happy
  • Cocochanel
  • Madame B
  • Lovely mumu
  • Dj sepetu
  • Mareth
  • Madam S
  • Gfsonwin
  • Mahondaw
  • Ukhuty
  • Kapeace
  • Nitarudi kuendekeza....
  • Gentamycine
  • V putin
  • Limsambwanda
  • Tumosa
  • Y2n
  • Majoto
  • Kioo
  • Mambembe
  • beira boy
  • The list
  • Yeth lotah
  • Padri mcharo
  • Kisandu junior
Mbona mi sipo kwenye list
 
Mimi wanavyonisumbua hko pm tokea nmepiga biko 60ml nachoka kusoma sms.
 
Unadhani wanawake wa Jf ni mandezi kiasi hiki!
Hata kama tuko nyuma ya keyboard, tunakujua mpaka mfukoni kwako kulivyo.
Baba, tafuta pesa....hizi sixpack waachie waliojichanga tayari.
Mwanaume asie na pesa, Pm ataipata kwa modereta kipindi anapewa sababu ya kwanini kala ban, otherwise.....utaisikia jukwaani tu.
Tena modereta mwenyewe wa kiume.
kwahio hufanyi kazi unategemea pesa za wanaume tena tofaut tofaut
.halaaf pia usiwazungumzie jisemee wewe kama wewe..sababbu nafikiri pia naamini kuna wanawake wanaojielewa sana huku na sio wapayukaji payukaji ovyo na ni vigumu kuwatambua ila kwa mwanaume alie na nia thabiti kupata mwenza/rafiki/ basi hujitokeza na kuwapata.
 
Kuna MTU anadai eti kuna vijana huku wamenigegeda wamemtumia na video.yaani nimeshindwa kumdifine. Hao vijana wa kwanza ni kichaa flani. Kumbe kuna watu humu ni vichaa kweli.
Dooooohhh pole sana mpenzi ,kumbe ndo hayo tena aiseee, sasa kwann naww usimuumbue hadharan aumbuke ?? Nikitendo kibaya sana iko na kuvunja heshima yamtu .. Ungemuumbua aumbuke !! Ukikaa kimya wenda akasadifisha upuuzi wake huo .

Pole kwa yote , sasa umesema unanitafuta sanaaaaa ,,au namm umeambiwa nipo ktk hiyo list????
 
kwahio hufanyi kazi unategemea pesa za wanaume tena tofaut tofaut
.halaaf pia usiwazungumzie jisemee wewe kama wewe..sababbu nafikiri pia naamini kuna wanawake wanaojielewa sana huku na sio wapayukaji payukaji ovyo na ni vigumu kuwatambua ila kwa mwanaume alie na nia thabiti kupata mwenza/rafiki/ basi hujitokeza na kuwapata.
Haswaa swadakta jibu zuri nimelipenda
 
HahahaUOTE="babalao 2, post: 26274996, member: 79250"]Mimi wanavyonisumbua hko pm tokea nmepiga biko 60ml nachoka kusoma sms.[/QUOTE]
Haha
 
Jamani jamani wadada wa Jamii For life naomba msaada wenu please.
Nimejiunga Jf Dec 1 2016 Alhamis leo ni march 19 2018 nina kama mwaka miezi minne na siku 18 lakini toka siku hiyo sijawah pata pm yoyoye ile! 😡😡 Hata mtu kukosea njia akawa kani pm mm haijatokea hata salamu tu sipatiiii😱
Wengine wanapata wapenz, wanabebishana wanakulana, wanamahaba niue ila KASORO DAVINCI TU! WHY?????
Mshana Jr nitikisie tunguri nami nipate kanjiwa kamoja ka kubebishana nako humu
Taarifa iwafkie..
  • Jolie jolie
  • Numbisa
  • Demiss
  • Mama aabrina
  • Geniveros
  • Demi
  • Shunie
  • Miss natafuta
  • Inna
  • Maserati
  • Minah24
  • Nahuja
  • Carbamazepine
  • Cute b
  • Miss chagga
  • Sakayo
  • Witness j
  • Victor wa happy
  • Cocochanel
  • Madame B
  • Lovely mumu
  • Dj sepetu
  • Mareth
  • Madam S
  • Gfsonwin
  • Mahondaw
  • Ukhuty
  • Kapeace
  • Nitarudi kuendekeza....
  • Gentamycine
  • V putin
  • Limsambwanda
  • Tumosa
  • Y2n
  • Majoto
  • Kioo
  • Mambembe
  • beira boy
  • The list
  • Yeth lotah
  • Padri mcharo
  • Kisandu junior
maelezo yako yatakua yameniwakilisha na mimi [emoji85]
 
Unadhani wanawake wa Jf ni mandezi kiasi hiki!
Hata kama tuko nyuma ya keyboard, tunakujua mpaka mfukoni kwako kulivyo.
Baba, tafuta pesa....hizi sixpack waachie waliojichanga tayari.
Mwanaume asie na pesa, Pm ataipata kwa modereta kipindi anapewa sababu ya kwanini kala ban, otherwise.....utaisikia jukwaani tu.
Tena modereta mwenyewe wa kiume.
HAHAA HAHAAAA
 
Back
Top Bottom