Wadada wa jf wekeni pichazenu halisi kwenye avatar zenu

Wadada wa jf wekeni pichazenu halisi kwenye avatar zenu

Wakiweka nishtue mkuu. Namm nijaribu kabahati .


Naweza nam nkakutana na mmoja humu Siku moja.

The Devil puts a spoonful of honey into neighbor's Wife
 
Nawaomba wadada Wa JF muwe mnaweka picha halisi ili iwe rahisi kufanya maamuzi sahihi. Yani nilimtokea mtoto mkali humu kwa kuangalia picha yake ya avatar baada ya kukutana live nilijikaza sana. Sasa msitusumbue sana embu wekeni picha zenu halisi basi tuwatongoze kwa dhati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitongoza dada wa JF , usije kumtangaza huku. Ujue huyo ndiyo zawadi yako uliyopewa. Mkubali kiroho safi tu.

Hebu fikiria atajisikiaje huyo aliyekutana nawe kama atauona huu uzi wako?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom