Akamgoogle huko amwambie
Nimjue wapi mie nilipenda vimiguu vyake basi
Hata hyo avatar si weweKiukweli siwezi kuweka avatar mbovu km mimi...
endelea kutafuta tafuta huenda ukampata anaefanania avatar yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nije PM?
Hivi hawakomi tuuu...Sawa tumekusikia mkuu tutalifanyia kazi ombi lako
Na ww unapendaje avatar bila kumjua muhusika
Mtu akikwambia you are smarter than your face. Utachukulia kama compliment au tusi ?Kiukweli siwezi kuweka avatar mbovu km mimi...
endelea kutafuta tafuta huenda ukampata anaefanania avatar yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Zingine zinapendezaHivi hawakomi tuuu...
Watuache na sura zetu za baba
Unlock it!
Ukitongoza dada wa JF , usije kumtangaza huku. Ujue huyo ndiyo zawadi yako uliyopewa. Mkubali kiroho safi tu.Nawaomba wadada Wa JF muwe mnaweka picha halisi ili iwe rahisi kufanya maamuzi sahihi. Yani nilimtokea mtoto mkali humu kwa kuangalia picha yake ya avatar baada ya kukutana live nilijikaza sana. Sasa msitusumbue sana embu wekeni picha zenu halisi basi tuwatongoze kwa dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapambane tu na hali zaoHivi hawakomi tuuu...
Watuache na sura zetu za baba
Sawa mkuu
KabisaaaWapambane tu na hali zao