Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Huyo kabaka miaka 30 inamhusuJameni nimechoshwa na wadada wakazi kwa tabia zao chafu. Nashukuru mimi sijawahi kuwa na viumiza vichwa.
Hivi mwanamke mzima anasex na mtoto mdogo anamwambia mtoto wa miaka 3 aende chumvini. Umekosa hata mlinzi kweli?
Mtoto ameshikwa na magonjwa ya watu wazima kuangaliwa vizuri ni dada kweli. Acha tu nimechoka
Kweli limwanamke lizima linamwambia mtoto dogo aende chumvini amkiss jamani. Eti unafanya nini na dada ananiambiaga hukuuuu. Chini kaniambia ni nye** weee.
Najua mko huku acheni hizo tabia za kuharibu watoto wa watu kama kazi zimekushinda ondoka .
Mnakera sana.