Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
KituiPanaitwaje rafiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KituiPanaitwaje rafiki?
Mmh, sipajui!!!Kitui
Mpaka kesho sisahau kulishwa samak alie iva upande mmoja.mkuu taratibu wenyewe wamekujaa
MachakosMmh, sipajui!!!
Huko Kenya?Machakos
haya maneno unaongea toka moyoni kweli???wadada wa kichaga wamezidi,nimeenda Moshi na Arusha vyakula vibovu ila bei wanazotaja sasa utakimbia,... customer care yenyewe mbovu,hawa watu walijaliwa rangi tu lakini skills za kimaendeleo zero kabisa
Hahaha hahahaHuko Kenya?
Machakos si huko Kenya?Hahaha hahaha
Asa unashangaa nini
Eli wanguu jamaniMachakos si huko Kenya?
Nimeshakuwa na mvi rafiki, hata sijui dots zinaungwaje[emoji39]Eli wanguu jamani
Unganisha dots akiii
Hahaha hahaha hahaha hahahaNimeshakuwa na mvi rafiki, hata sijui dots zinaungwaje[emoji39]
Utaniambia tu leo! [emoji23][emoji23]Hahaha hahaha hahaha hahaha
Ndo hivyo tena jamani... At least umejua penye iko!
Tusimwage kuku penye mchele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utaniambia tu leo! [emoji23][emoji23]
Hakyanani hata sijui...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona unajua vyoteee
Safari hii utanichoka. Labda unihonge K Vant na Mgugu asijue
Mpaka kesho sisahau kulishwa samak alie iva upande mmoja
MmmhHakyanani hata sijui...