Wadada wa massage sio watu wazuri kabisa

Wadada wa massage sio watu wazuri kabisa

Sasa umeenda kunyoa ukijua fika kuna wanawake hapo kwa ajili ya biashara, kwanini lisiwe tatizo lako na sio lao?
Kama naamua kwenda kunyoa naenda kunyoa akimaliza akisema kaoshe naondoka tu sipendi ujinga mimi

Kila sehemu unaenda kwa sababu zake
Ndicho huwa Ninacho fanya Kaka, Sina haha ya kuoshwa kichwa
👉Tena nalipa kabla ya kunyoa, so sitaki distraction
 
Kijana wa makamo yupo kwenye kundi la mtu mzima. Hilo neno makamo haliondoi utu uzima wake. Katika maisha kuna watoto na watu wazima ila unaweza kujiambia chochote ili kujifariji kuwa bado ni mdogo ndo mambo ya umakamo yanaingia.
Mkuu watu wazima ni wajaluo na wahaya, sisi wakurya ni watu kamili
 
Nilishaacha maokoto ya kodi Kwa hawa wadada, Sinza hapo hapo ila saloon siitaji, nilijikuta nimepunguza 150k kutoka kwenye hela ya kodi na walivyo wezi anakwambia ntakupa namba yangu ukitaka niwe nakuja kukufanyia massage kwako[emoji1787]

Tangu siku hiyo, naenda kunyoa na 30k tu mfukoni
 
Mimi kama kijana mdogo wa miaka 29 maana uzee uanza 45 years, napenda kupendeza sana na uhandsome wa mwanaume ni kunyoa.

Story inaanza nimeamka Jumamosi flani mapema nikaenda jumuiya na nikafanya majukumu binafsi, Nikaamua niende Sinza kunyoa sitataja saluni kuingia nikanyoa fresh.

Sasa kusubiri black ikauke kuna zile pisi kali za kuosha nywele toto white flani rangi ya mtume yaani cream ebony delavida mnaelewa nafikiri zimekaa kitaalamu.

Nikaingia kwenye zile room sasa wakati naoshwa nywele wakaanza kutekenya masikio nikasikia hutaki massage 50,000 tu tunamaliza kila kitu.

Kwa kweli wanajua kupandisha ashki za mwanaume na ukiwa legelege unaacha mtaji, cha kushukuru niliacha simu nyumbani nilikuwa na 20k tu.

Kusema ukweli hawa watu ni hatari, wana njia zote za kuiba hela yako wakati wanakuosha wanakuwa wamevaa blouse no brazia kwahiyo mtindi unaona wote so hauwezi kutoka salama na wana lipa kwa simu, mastercard yaani wapo kitaalamu Sinza ni hatari nyie.

Selemani sele.
Kijana mstaarabu.
Toba!
'Washakubikili Masikio'? Kama bado niambie nikuelekeze chimbo, utaifuata simu mwenyewe ili uwalipe na kukopa juu ili uendelee kula 'laha lohoni'😀
 
Kilikukuta nn?
Yaani wale watoto sijui wanatumia saikolojia ila duuh! Walikuwa wananikanda kiasi kwamba huwezi kuacha kwenda! Watoto huku nje nilikuwa nawaona kama wajinga tu! Ila nikizama zangu Mikocheni huko nakutana na watoto safi sana!
 
Ila hao usipokuwa na maamuzi ya kujidhibiti unafanya balaa zito kweli.

Salon moja niliingia. Sasa wakati naoshwa nywele yule dada alinifanyia makusudi kabisa!

Halafu alivyokuwa hana aibu akaniita mimi ni mchumba wake. Anafuta nywele zangu kwa taulo karibia na mabega ananibinya binya.

Nikajisemea moyoni aaah wapi hunipati!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Eti aah wapi, hakupati....ipo siku yako utapatikana tu kwsbb wale hawawazi na hawana aibu, hawana cha kupoteza

Wewe unajali ndoa...wao hawana habari wapo mawindoni
 
Mara yangu ya kwanza na mwisho kuingia masaji.
Nilipatwa maumivu ya mgongo kwa muda wa wiki mgongo unauma.
Nikawaza nitafute sehemu nifanyiwe masaji ya mgongo labda nitapata afuweni.
Nikaingia gugo masaji nia me. Nikaletewa nikitoka job nikaweka direction ikaniongoza mpaka ilipo.
Nikazama ndani nikakaribishwa na wadada wawili.
Mmoja ako seblen mwingine mpaka kwenye kachumba kadogo ka master. Kana giza hivi na pangaboy.
Nikaomba nifanyiwe mgongo tu mana ndio unashida na si penginepo.
Akaniamuru nivue nguo. Nikatii Nikabakiwa na boksa na yeye amebaki na chupi na bra.
Kaka wenzako wanavuaga zote wewe unaona aibu. Duh nikatii nikavua na boksa. Uchi mtupu.
Masaji ikaanza nikiwa nimelala kifudifudi huku kanipandia mgongoni.
Apo nilivumilia asee sasa nilipogeuzwa chalii ndio anifanyie masaji huku amekalia Usama wa ub... wangu.! Daah nilishindwa vumilia nikajikuta napekenyua chupi ili nizamishe mashine akajua nishakolea. Na kondom sh 30,000 bila kondom 50,000.
Apo nimedata atari nikajikuta nachabanga tu waah! Afu anafanya kushtuka eti haaa umeingiza!!
Apo nokapiga tako chache tu wazungu haoo. Wamotooo!
Oh my gad! Akili ikanirudi ghafla, nini hiki nimefanya!
Nilijilaumu sanaa. Nikaapa sirudii tena masaji.
Neva.
 
Mimi kama kijana mdogo wa miaka 29 maana uzee uanza 45 years, napenda kupendeza sana na uhandsome wa mwanaume ni kunyoa.

Story inaanza nimeamka Jumamosi flani mapema nikaenda jumuiya na nikafanya majukumu binafsi, Nikaamua niende Sinza kunyoa sitataja saluni kuingia nikanyoa fresh.

Sasa kusubiri black ikauke kuna zile pisi kali za kuosha nywele toto white flani rangi ya mtume yaani cream ebony delavida mnaelewa nafikiri zimekaa kitaalamu.

Nikaingia kwenye zile room sasa wakati naoshwa nywele wakaanza kutekenya masikio nikasikia hutaki massage 50,000 tu tunamaliza kila kitu.

Kwa kweli wanajua kupandisha ashki za mwanaume na ukiwa legelege unaacha mtaji, cha kushukuru niliacha simu nyumbani nilikuwa na 20k tu.

Kusema ukweli hawa watu ni hatari, wana njia zote za kuiba hela yako wakati wanakuosha wanakuwa wamevaa blouse no brazia kwahiyo mtindi unaona wote so hauwezi kutoka salama na wana lipa kwa simu, mastercard yaani wapo kitaalamu Sinza ni hatari nyie.

Selemani sele.
Kijana mstaarabu.
Uzee ni kuanzia miaka 75!
 
Back
Top Bottom