Wadada wa massage sio watu wazuri kabisa

Kaka kama kijana unabidi uwe appealing to the society wale wananyoa vizuri
 
Peleka Facebook.
 
Aisee. Kweli wewe ni funza dume. Nimecheka ulivyoelezea habari yako.
 
Naunga mkono hoja

Unafalsafa kama za Malcom x, martin Luther king Jr, shehe ponda, john pambalu, juma duni haji, tundu lisu, khamis khalifani,

Naomba kuwasilisha
 
Hizi saluni ni bala zito
Ila hao usipokuwa na maamuzi ya kujidhibiti unafanya balaa zito kweli.

Salon moja niliingia. Sasa wakati naoshwa nywele yule dada alinifanyia makusudi kabisa!

Halafu alivyokuwa hana aibu akaniita mimi ni mchumba wake. Anafuta nywele zangu kwa taulo karibia na mabega ananibinya binya.

Nikajisemea moyoni aaah wapi hunipati!
 
Kilikukuta nn?
 
Hahahaha kwahyo ulikwenda uokozi ukaamu kumleta barbershop Kuja kuuzuguawwatu

VIP ulimpima ukimwi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…