Nchi ya Vipofu Chongo anatafuta nini mkuu.???
Ila wadada wamekuwa FAKE sana siku hizi kuanzia tabia na kila kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mjukuuuu wangu hii misemo lazima uifikirie tenaaa na tenaaa ndo uielewe.
Nakupa mfano... Kuna kijiji kimoja hakuna msomi hata mmoja, ila akatokea dogo yeye alienda nje ya kijiji kile, kisha akaanza lakwanza, Kwasababu ya utundu wake nakutokupenda shule, aliishia Darasa la pili.
Kisha arudi kijijin kwao, Bwanamdogo kwakujua tu kusoma nakuandika, akakuaa akiwa mwingi wahabar, mjanja mjanja tuuu,, kijiji kizima kikawa kinamuhusudu huyu bwana dogo mpaka wakampa "Ufalme".
Unahisi ktka wale ambao hawakusoma, Hapakuwepo na Mtu mwenye busara nahekima kutosha kua mfalme, mpaka wakampa huyu Muhuni, mkorofi. Mgonvi, aloacha shule??? .
Namaanisha ivi..... Hawa wadada walozumgumzwa na mtoa mada, kama alivyosema, niwajanja wajanja tuu wanaishi kiujanja ujanja ,kulala kwa mashoga ( Chongoooooo) .... Lkn wanakuka kuonekana wafalme wanapokutana na wadada wenzao au wanaume wasokua makini nawasoruhusu vichwa kufikiria.
Mfano, Najua kabisa wee hujawah Kunua kitu fulan mahali fulan nawenda hupajui,,, ivo basi weee mshamba mshamba unajikuta unamuona Mfalme .
Nadhan umenielewa Joooh!!.