Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Boss la DP World leo nikaenda saloon kujiandaa kwaajili ya kuhudhuria kwenye hafla moja ya heshima sana. Baada ya kumaliza kupunguza nywele nikaelekezwa kwenye chumba kwa madai ya kwenda kuosha.
Kufika kule nakuda wadada 2, black beauty 1 akaja mwingine akafungua mlango akasepa, aliyebaki akaniuliza nataka huduma gani nikamwambia kuosha akasema tufanye scrub basi nikasema hapana.
Kipindi ananiosha akaanza kunishikashika masikio na mabega taratiibu huku ananiambia karibu massage, Boss la DP World nikaishiwa nguvu nikakubali akafungua chumba kingine tena kipo kulekule ndani nikaenda.
Akanipa maelekezo eti natakiwa kubaki na boxer tu, halafu nijifunike na shuka fulani hivi yeye akatoka ili nijiandae, baada ya dakika akarudi. Kilichofuata ni visa na utapeli wa kisaikolojia.
Kwakweli tulienda hatua kwa hatua tukaishia kwenye body to body massage, kuhamaki bili ni 120k. Huu si wizi wa kimahaba kabisa?, Hii haikubaliki kabisa. Kama wewe mdada uko humu siji tena saluni kwenu, kwanza umenimalizia nguvu zangu.
Sema nilipata raha.
Kufika kule nakuda wadada 2, black beauty 1 akaja mwingine akafungua mlango akasepa, aliyebaki akaniuliza nataka huduma gani nikamwambia kuosha akasema tufanye scrub basi nikasema hapana.
Kipindi ananiosha akaanza kunishikashika masikio na mabega taratiibu huku ananiambia karibu massage, Boss la DP World nikaishiwa nguvu nikakubali akafungua chumba kingine tena kipo kulekule ndani nikaenda.
Akanipa maelekezo eti natakiwa kubaki na boxer tu, halafu nijifunike na shuka fulani hivi yeye akatoka ili nijiandae, baada ya dakika akarudi. Kilichofuata ni visa na utapeli wa kisaikolojia.
Kwakweli tulienda hatua kwa hatua tukaishia kwenye body to body massage, kuhamaki bili ni 120k. Huu si wizi wa kimahaba kabisa?, Hii haikubaliki kabisa. Kama wewe mdada uko humu siji tena saluni kwenu, kwanza umenimalizia nguvu zangu.
Sema nilipata raha.