Ndio vijana wa CCM hawa. NonsenseKamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.
Meza unayotingisha Ina Henensy tupu na kitimoto roast!!Wanafanya hivyo na hawajavaa groves. ni hatari sio kwao tu ila na kwako pia, ukijua wao wameshajisusa, hawajali na wako tayari kwa lolote.
Wameuza papa wee na wameshaharibikiwa, na wapo pale kwa ajili ya kukubembeleza na kukucare ili uchukue namba yao siku wapo off au usiku uwachukue. Mungu awasaidie.
Hakuan mpiga scrub asiye malaya, hajawahi kutokea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Usicomplicate Maisha.Ndio vijana wa CCM hawa. Nonsense
Itakuwa upo KijijiniHivi watu mnajadili kuhusu nini humu!!
Maana wengine mnatuchanganya tu.
Minajua nikimaliza kunyoa, navua shati, nakung'uta kisha naenda zangu kuoga.
Wewe waonaje?Samahani mkuu.....
Hivi kufanya scrub na rolls ndio nini...[emoji848]??
Alafu kwani wewe ni Me au Ke...[emoji3166]??
Kha!,kha!,Sasa unasema ulichukua noti mbili ukampa bidada,ukamukula sasa hizo pesa zingine ulizifanyia nini?.Nilimkula mmoja nilienda kunyoa nikiwa na bulungutu la mkopo kutoka bank,wakati namlipa nilitoa bulungutu nikachomoa wekundu wawili nikachukua no kesho yake akanitafuta tukaenda kulana ,na niliishia kuuza nyumba kulipa mkopo bank
Atajiju.Duu jamani inaonekana ulimpania sana ha ha ha
Km Ndivyo wewe usingepatikana.Heshimu manii.
Ah! wapi.Nilivyo bahili sasa.Ukimaliza kulipa unawapa na Tip Kidogo kp change
Kha![emoji23][emoji23][emoji23],Tena Mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Mpwayungu.Ndio mimi huyo.Hiyunatakuwa ni Mwl ama sivyo Mpwayungu?
Mbele ya pesa hakuna kinyaa...mwisho wa siku wewe ndiye falla uliyeshikwa shikwa ukaacha pesa, binti kama ni mjanja atafanya kitu kinachoonekana lkn wewe umeachiwa kumbukumbu ya kubinywa vipele.Wakuu habari za jioni?
Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.
Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.
Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.
Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.
Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
Una sura ngumu sana mkuu?Mambo ya Happy ending huwaga ni uongo sio kweli. Kwani nyie mna alama usoni mbona nikihudhuria hizo saloon sijawah ona hata dalili
UZI TAYARIWakuu habari za jioni?
Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.
Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.
Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.
Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.
Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
Nimemsikia sana huyu Wakili Msomi. Naamini kama Rais Samia atasikiliza hii link ya youtube atabadili mawazo yake kuhusu mkataba wa DP WORLD!! Itakuwa ni ni NUKSI kubwa kwake kama raia wa Tanzania atapoteza maisha sababu ya kutetea raslimali za nchi.
Labda kuwe na nguvu nyingine nyuma yake ambayo ni sadist. Naamini hata hao wanaowatisha hawa mawakili wasomi kuwatoa uhai hawajatumwa na Rais Samia bali na makundi masilahi yanayomzunguka Samia.
Samia amka jitoe kwenye hayo makundi ya akina Rostam na JK, wanakutumia tu ili kufanikisha masilahi yako. Usikubali kumwaga damu ya Mtanzania yeyote kama alivyofanya Magufuli!! Ukikaidi na wewe pia hutadumu kwenye kiti hicho kama mtangulizi wako alivyofanya
Wakuu habari za jioni?
Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.
Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.
Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.
Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.
Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
Nature yako wewe ni mchafu sana, unaonekana unafua boxer baada ya miezi mitatu
Imeenda hiyo nasema imeenda hiyo
Wanafanya hivyo na hawajavaa groves. ni hatari sio kwao tu ila na kwako pia, ukijua wao wameshajisusa, hawajali na wako tayari kwa lolote.
Wameuza papa wee na wameshaharibikiwa, na wapo pale kwa ajili ya kukubembeleza na kukucare ili uchukue namba yao siku wapo off au usiku uwachukue. Mungu awasaidie.
Hakuan mpiga scrub asiye malaya, hajawahi kutokea.
Sema umepewa na Happy Ending mjomba😅😅
Huyu anaonekana ndo zake, sema anaficha [emoji23][emoji23]
Kuna limshangazi fulani corporate lilinipiga kiss ghafla bin vuu wakati wa kuosha nywele
NB
Ni single mother
Baada ya hapo ukamkatia ngapi?
You nailed it
Duh ukamwaga Ubongo
Wakaka ndo kina nani? Saluni ya kiume kuwa na wahudumu wanaume na waoshaji wanawake.
Raha sana kichwa para linapigwa massage mpaka unajisahau Kwa muda kama upo hai!
Mambo ya Happy ending huwaga ni uongo sio kweli. Kwani nyie mna alama usoni mbona nikihudhuria hizo saloon sijawah ona hata dalili
Bila shaka sheikh wengi ni Satan AjentsMsipende sana haya mambo ya scrub, massage, nk huko salon yana mambo yake pia na wengi hufanyiwa ufedhuli wa kiroho na hao madada ambao wengi wao ni watenda kazi na maajenti katika ulimwengu wa giza!
Mchungaji km Mchungaji,kwa hiyo tufanyeje sasa Mtumishi?.Msipende sana haya mambo ya scrub, massage, nk huko salon yana mambo yake pia na wengi hufanyiwa ufedhuli wa kiroho na hao madada ambao wengi wao ni watenda kazi na maajenti katika ulimwengu wa giza!
Sasa si ndio Kazi ya pesa mkuu?.Tunatafuta kwa shida ili tuzitumie kwa raha[emoji23][emoji23]Mbele ya pesa hakuna kinyaa...mwisho wa siku wewe ndiye falla uliyeshikwa shikwa ukaacha pesa, binti kama ni mjanja atafanya kitu kinachoonekana lkn wewe umeachiwa kumbukumbu ya kubinywa vipele.
Wale mabinti ni majasiri sana na huwa nawaheshimu sana