Wadada wa saluni za kiume hawana kinyaa kabisa

Wadada wa saluni za kiume hawana kinyaa kabisa

Wanafanya hivyo na hawajavaa groves. ni hatari sio kwao tu ila na kwako pia, ukijua wao wameshajisusa, hawajali na wako tayari kwa lolote.

Wameuza papa wee na wameshaharibikiwa, na wapo pale kwa ajili ya kukubembeleza na kukucare ili uchukue namba yao siku wapo off au usiku uwachukue. Mungu awasaidie.

Hakuan mpiga scrub asiye malaya, hajawahi kutokea.
Meza unayotingisha Ina Henensy tupu na kitimoto roast!!
 
Nilimkula mmoja nilienda kunyoa nikiwa na bulungutu la mkopo kutoka bank,wakati namlipa nilitoa bulungutu nikachomoa wekundu wawili nikachukua no kesho yake akanitafuta tukaenda kulana ,na niliishia kuuza nyumba kulipa mkopo bank
Kha!,kha!,Sasa unasema ulichukua noti mbili ukampa bidada,ukamukula sasa hizo pesa zingine ulizifanyia nini?.
 
Wakuu habari za jioni?

Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.

Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.

Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.

Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.

Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
Mbele ya pesa hakuna kinyaa...mwisho wa siku wewe ndiye falla uliyeshikwa shikwa ukaacha pesa, binti kama ni mjanja atafanya kitu kinachoonekana lkn wewe umeachiwa kumbukumbu ya kubinywa vipele.

Wale mabinti ni majasiri sana na huwa nawaheshimu sana
 
Wakuu habari za jioni?

Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.

Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.

Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.

Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.

Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
UZI TAYARI
 
Msipende sana haya mambo ya scrub, massage, nk huko salon yana mambo yake pia na wengi hufanyiwa ufedhuli wa kiroho na hao madada ambao wengi wao ni watenda kazi na maajenti katika ulimwengu wa giza!

Ukienda salon yoyote kabla ya kunyoa sali kwanza jikabidhi kwa Yesu Kristo, pia kabidhi nywele zako kwa Yesu. Jifunike kwa Damu ya Yesu, alafu nenda kanyoe.

Nywele zako na mwili wako vitakuwa salama dhidi ya ufedhuli unaofanywa kwenye salon na vinyozi ambao wengi ni maajenti wa kuiba nyota za watu na kuzipeleka kuzimu.
Nimemsikia sana huyu Wakili Msomi. Naamini kama Rais Samia atasikiliza hii link ya youtube atabadili mawazo yake kuhusu mkataba wa DP WORLD!! Itakuwa ni ni NUKSI kubwa kwake kama raia wa Tanzania atapoteza maisha sababu ya kutetea raslimali za nchi.

Labda kuwe na nguvu nyingine nyuma yake ambayo ni sadist. Naamini hata hao wanaowatisha hawa mawakili wasomi kuwatoa uhai hawajatumwa na Rais Samia bali na makundi masilahi yanayomzunguka Samia.

Samia amka jitoe kwenye hayo makundi ya akina Rostam na JK, wanakutumia tu ili kufanikisha masilahi yako. Usikubali kumwaga damu ya Mtanzania yeyote kama alivyofanya Magufuli!! Ukikaidi na wewe pia hutadumu kwenye kiti hicho kama mtangulizi wako alivyofanya

Wakuu habari za jioni?

Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.

Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.

Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.

Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.

Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.

Nature yako wewe ni mchafu sana, unaonekana unafua boxer baada ya miezi mitatu

Imeenda hiyo nasema imeenda hiyo

Wanafanya hivyo na hawajavaa groves. ni hatari sio kwao tu ila na kwako pia, ukijua wao wameshajisusa, hawajali na wako tayari kwa lolote.

Wameuza papa wee na wameshaharibikiwa, na wapo pale kwa ajili ya kukubembeleza na kukucare ili uchukue namba yao siku wapo off au usiku uwachukue. Mungu awasaidie.

Hakuan mpiga scrub asiye malaya, hajawahi kutokea.

Sema umepewa na Happy Ending mjomba😅😅

Huyu anaonekana ndo zake, sema anaficha [emoji23][emoji23]

Kuna limshangazi fulani corporate lilinipiga kiss ghafla bin vuu wakati wa kuosha nywele
NB
Ni single mother

Baada ya hapo ukamkatia ngapi?

You nailed it

Duh ukamwaga Ubongo

Wakaka ndo kina nani? Saluni ya kiume kuwa na wahudumu wanaume na waoshaji wanawake.

Raha sana kichwa para linapigwa massage mpaka unajisahau Kwa muda kama upo hai!

Mambo ya Happy ending huwaga ni uongo sio kweli. Kwani nyie mna alama usoni mbona nikihudhuria hizo saloon sijawah ona hata dalili
 
Msipende sana haya mambo ya scrub, massage, nk huko salon yana mambo yake pia na wengi hufanyiwa ufedhuli wa kiroho na hao madada ambao wengi wao ni watenda kazi na maajenti katika ulimwengu wa giza!
Mchungaji km Mchungaji,kwa hiyo tufanyeje sasa Mtumishi?.
 
Mbele ya pesa hakuna kinyaa...mwisho wa siku wewe ndiye falla uliyeshikwa shikwa ukaacha pesa, binti kama ni mjanja atafanya kitu kinachoonekana lkn wewe umeachiwa kumbukumbu ya kubinywa vipele.

Wale mabinti ni majasiri sana na huwa nawaheshimu sana
Sasa si ndio Kazi ya pesa mkuu?.Tunatafuta kwa shida ili tuzitumie kwa raha[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom