Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
😆Ndio.Wewe Ulitakaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆Ndio.Wewe Ulitakaje?
Umeona eenhh??!!.Labda useme ni kinyume cha maadili kushikwa shikwa kingono na mwanamke asiye mke ila siyo hizi hadithi za kilokole ulizoleta.
Sawa mkuu,nimeupokea Ushauri wako.Ni tahadhari tu, ukizingatia hao akina dada hawana ujuzi wowote.
[emoji23][emoji23][emoji23],Wakubwa tumeshakupata.Kuna simu dah nilishituka napapaswa dushe Lele ...ikawa imeenda hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Wakubwa tumeshakupata.
Dah,Ukienda salon yoyote kabla ya kunyoa sali kwanza jikabidhi kwa Yesu Kristo, pia kabidhi nywele zako kwa Yesu. Jifunike kwa Damu ya Yesu, alafu nenda kanyoe.
Nywele zako na mwili wako vitakuwa salama dhidi ya ufedhuli unaofanywa kwenye salon na vinyozi ambao wengi ni maajenti wa kuiba nyota za watu na kuzipeleka kuzimu.
Wanatutisha sana.Dah,
Watu wa macho ya Rohoni, shida kweli!!
Yaani hela ya mkopo ukaanza nayo kwenye kwichikwichi kwanza aiseeee😆😂Nilimkula mmoja nilienda kunyoa nikiwa na bulungutu la mkopo kutoka bank,wakati namlipa nilitoa bulungutu nikachomoa wekundu wawili nikachukua no kesho yake akanitafuta tukaenda kulana ,na niliishia kuuza nyumba kulipa mkopo bank
(Wana)"chapwa" (saa)"24"!Wanafanya hivyo na hawajavaa groves. ni hatari sio kwao tu ila na kwako pia, ukijua wao wameshajisusa, hawajali na wako tayari kwa lolote.
Wameuza papa wee na wameshaharibikiwa, na wapo pale kwa ajili ya kukubembeleza na kukucare ili uchukue namba yao siku wapo off au usiku uwachukue. Mungu awasaidie.
Hakuan mpiga scrub asiye malaya, hajawahi kutokea.
Barbershop ni madanguro ya kisasa, yaani wale wanawake siyo wa kugusa hata kidogo kwa mwanaume anayejitambua, siyo kubinya tu vichunusi, bali wanalala na wanaume chungu mzima aiseeWakuu habari za jioni?
Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.
Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.
Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.
Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.
Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
DaahWakuu habari za jioni?
Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.
Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.
Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.
Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.
Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
[emoji1787][emoji1787] makende, haya si ndio mnapenda kunyonyaSiku watabinya na ngogwe ujipatie wadudu wako