Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
- Thread starter
-
- #81
Ndio.Wewe Ulitakaje?UZI TAYARI
Sawa mkuu,nimepokea Ushauri.Utakuja pata magonjwa waambie wawe wanavaa groves Mpya kila wanapoenda wafanyia watu Huduma hiyo.
Sasa usiwahurumie acha waitumikie kuipata😆Sasa si ndio Kazi ya pesa mkuu?.Tunatafuta kwa shida ili tuzitumie kwa raha[emoji23][emoji23]
Ukienda salon yoyote kabla ya kunyoa sali kwanza jikabidhi kwa Yesu Kristo, pia kabidhi nywele zako kwa Yesu. Jifunike kwa Damu ya Yesu, alafu nenda kanyoe.Mchungaji km Mchungaji,kwa hiyo tufanyeje sasa Mtumishi?.
Mno! Hii dunia ina maajabu mengi sana.Bila shaka sheikh wengi ni Satan Ajents
Wewe baki na kinyaa chako ufe masikini,kwani hivio vipele anakamua bure?Wakuu habari za jioni?
Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.
Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.
Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.
Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.
Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nature yako wewe ni mchafu sana, unaonekana unafua boxer baada ya miezi mitatu
Ndio zetu mkuuHivi watu mnajadili kuhusu nini humu!!
Maana wengine mnatuchanganya tu.
Minajua nikimaliza kunyoa, navua shati, nakung'uta kisha naenda zangu kuoga.
Dah!!,Umenitisha mkuu.Hadi nimeogopa.Ukienda salon yoyote kabla ya kunyoa sali kwanza jikabidhi kwa Yesu Kristo, pia kabidhi nywele zako kwa Yesu. Jifunike kwa Damu ya Yesu, alafu nenda kanyoe.
Nywele zako na mwili wako vitakuwa salama dhidi ya ufedhuli unaofanywa kwenye salon na vinyozi ambao wengi ni maajenti wa kuiba nyota za watu na kuzipeleka kuzimu.
So kuna watu wanaenda kuzimu na kurudi?Ukienda salon yoyote kabla ya kunyoa sali kwanza jikabidhi kwa Yesu Kristo, pia kabidhi nywele zako kwa Yesu. Jifunike kwa Damu ya Yesu, alafu nenda kanyoe.
Nywele zako na mwili wako vitakuwa salama dhidi ya ufedhuli unaofanywa kwenye salon na vinyozi ambao wengi ni maajenti wa kuiba nyota za watu na kuzipeleka kuzimu.
[emoji23][emoji23][emoji23]tuelekeze saloon gani mkuu tukahakikishe tu
Hapana mkuuumalaya tu
Hapo pamenifikirishaWakuu habari za jioni?
Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.
Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.
Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.
Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.
Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
Jamani muwe waangalifu na vipele, (chunusi) vya usoni. Kuna nerves (mishipa) ambayo iko sensitive sana, kiasi unapominya hivyo vipele, hiyo mishipa mingine inaungana na mfumo wa ubongo, hivyo kupelekea madhara (kuvimba uso) na hata kifo cha ghafla.Wakuu habari za jioni?
Mimi napenda sana kunyoa kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada. Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa halafu naambiwa nenda chumbani ukaoshwe ambako unaenda na kumkuta mdada Mzuri atakayekuosha, kufanyia scrub, rolls, nk.Lkn mimi huwa naishia tu Kwenye scrub na rolls.
Kilichofanya nije hapa na kisha kuandika huu uzi ni jinsi hawa wadada wasivyo na kinyaa katika kutuhudumia sisi Wakulungwa, Unakuta anakubinya vipele vya kwenye kidevu ambavyo vitatoa usaha, anakuja tena anaibinya pua vinatoka viuchafu fulani hivi wao wanasema ni vimafuta, sasa Unakuta Wakati Mwingine umebanwa na mafua na makamasi yanajitokea tu hovyo, lakini unakuta hawa wadada wala hawajali.
Kama leo hii mdada wa watu ameniminya viupele vya kidevuni na shingoni vikawa vinatoa usaha.
Kamdada kakasema kaka vipele vinatoa usaha!!, Kidume nikajibu ahaaa!!, sawa![emoji23][emoji23][emoji23], Kamdada kakachukua tissue kakanifuta taratibu na vidole vyake vilaini bila kinyaa.
Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
So kuna watu wanaenda kuzimu na kurudi?
Pili wasisali kabla ya kunyolewa wamenyang'anywa nyota?
Imani
Potofu
Toka
Kwa
Mitume
Na
Manabii fake
Kha!,Mbona vitisho sana mkuu.Jamani muwe waangalifu na vipele, (chunusi) vya usoni. Kuna nerves (mishipa) ambayo iko sensitive sana, kiasi unapominya hivyo vipele, hiyo mishipa mingine inaungana na mfumo wa ubongo, hivyo kupelekea madhara (kuvimba uso) na hata kifo cha ghafla.
Mimi si mtaalamu, ila nimekula kwenye familia ya daktari, na daima tulikuwa tukionywa tabia za kupasuana vipele na chunusi za usoni.
"Breaking the skin's surface anywhere (on your face or body) poses a risk of bacteria entering the bloodstream, which is the main concern with the "danger triangle," she notes. If a pimple is popped in the triangle and "if there is a particularly virulent or highly resistant and aggressive bacterial infection introduced from the popping into the bloodstream, it can travel to the other parts of the body, including the brain," says Dr. Shamban.
"
Can Popping a Pimple In the 'Danger Triangle' Kill You?.
Kwanini mkuu?Hapo pamenifikirisha
Ni tahadhari tu, ukizingatia hao akina dada hawana ujuzi wowote.Kha!,Mbona vitisho sana mkuu.
Labda useme ni kinyume cha maadili kushikwa shikwa kingono na mwanamke asiye mke ila siyo hizi hadithi za kilokole ulizoleta.Msipende sana haya mambo ya scrub, massage, nk huko salon yana mambo yake pia na wengi hufanyiwa ufedhuli wa kiroho na hao madada ambao wengi wao ni watenda kazi na maajenti katika ulimwengu wa giza!
Ukienda salon yoyote kabla ya kunyoa sali kwanza jikabidhi kwa Yesu Kristo, pia kabidhi nywele zako kwa Yesu. Jifunike kwa Damu ya Yesu, alafu nenda kanyoe.
Nywele zako na mwili wako vitakuwa salama dhidi ya ufedhuli unaofanywa kwenye salon na vinyozi ambao wengi ni maajenti wa kuiba nyota za watu na kuzipeleka kuzimu.