Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

Tunafanya delivery.
 
Hujawahi kuona mdada analipwa mshahara elf 80 lakini kila siku anakodi boda boda kuja kazini na kuondoka
 
Wapo kibao pia wanafunga biashara sana tu..kama sinza mtu akilipa kodi ya kwanza akilipa ya pili pumzi inakata anatembea.. frem halilali kesho anakuja mdada mwingine bila hata kufanya tathmini ya aina ya biashara nae anafungua baadae anafunga..na hapo kaingia gharama ya kudesign upya frem anavyotaka yeye.. ila pia inakuaga show off halafu maumivu baadae. Pia kuna ambao waume zao wanawafungulia biashara kuzugia tu kuwakeep bize,ninae rafiki yangu mmoja alikuaga dem wangu kitambo alifunguliwa duka la nguo za harusi na anaweza kaa miezi miwili hajauza ila fresh tu na kachkua frem mbili
 
Yeah wapo wengi sana wanakomaaga wengine pumzi inakata wanarudisha frem ! !
 
Wengi wa wanaume wenye wivu,huwaachisha wapenzi au wake zao mishe na kuwafungulia vibiashara uchwara ili apate walau afueni ya kuwamonitor,,labda vi mpesa,duka,na vibiashara biashara ambavyo hesabu zake zitapigwa jion wakati wa kumpitia waende home.....tofauti na akiwa kaajiriwa anaweza akazidisha uongo hata kwa mambo ambayo hayapo
 
Inawezekana pia ,,,, akishamfungulia biashara ana uhakika wa kum-monitor mda wote tofauti na akiwa kazini visingizio haviishi
 
Anaikalia ya pedeshee au anamgeuzia nyuma..mjini mambo mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…