Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

Hakuna anayependa maisha magumu,
Muhimu ni wao kufurahia maisha yao,
Sio rahisi kua na hayo maduka, kumaintain hayo maisha
Kama unabisha fungua wewe!....

Naheshimu sana mtu anayetafuta pesa bila kujali anazipataje...
 
Kila mtu ana mtindo wake wa namna ya kufanya maisha yake yaende kilingana na matakwa na vionjo vyake, mazingira yanaweza kuwa sawa ila kila mmoja wetu amejaliwa namna yake ya kuendesha maisha yake kulingana na mazingira yake.
Mwisho wa yote anapata riziki yeye na wanaomtegemea .

Wabarikiwe sana wadada wapambanaji haidhuru aina ya wanachofanya jamii itawaonaje maadamu tu hawachukui cha mtu bila ridhaa.
 
Umenikumbusha mzee mmoja alikuwa na taxi....muda wote kapaki kwenye kijiwe cha gahwa...anaifutafuta gari yake...mtu akitaka kukodi hasa vijana anakataa.....kumbe alfajiri ameshapiga dili zake za kusambaza chang'aa...hivyo basi kwa hao wa maduka...si ajabu ngada.
 
Masponsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…