cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siyo makosa yetu Nduka, laumu camera beauty za mchina tafadhali..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siyo makosa yetu Nduka, laumu camera beauty za mchina tafadhali..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol.Hahahaha picha ya Odama sura ya Ebitoke [emoji28] tunapigwa sana jamani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahHahahaha mimi ni kanyaga twendee hata kije kibungo yanii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa huyo anaonekana bado sana
Ndo suluhisho lenyewe, sasa yeye analeta lawama zake hapa [emoji23][emoji23][emoji23]Acha umende ndugu. Tatizo ni wewe kutafuta wa kumgegeda kwa kuangalia profile zao.
Tongoza unao waona live
Mbona hao available men also they are not available? 50+32+10+5+3 ni 100%......Nawasifu wadada wa kisasa kwa kuwaendesha puta wavulana wa Kileo. Kila siku kulalamika ingawa uhalisia ni wadada ambao walitakiwa walalamike Kwani siku hizi wanaume ni viumbe adimu kulingana na takwimu za Umoja wa Mataifa. Endelea
View attachment 1845423
Hili nalo neno mzeeSiku zote matangazo ya bidhaa inabidi yawe mazuri kuliko bidhaa yenyewe ili kuteka soko
Nimeshapigwa sana hasa na mademu wa JF wabovu kichizi......kuna huyo mmoja majuzi ilibidi nijifiche baada ya kumuelekeza na kufika nilipokuwa maeneo ya baaKuna tabia wadada wanaweka picha kwenye profile zao ambazo siyo halisi. Yani unakuta kajipiga picha halafu anaifanyia manjonjo wewe una base kwenye picha hiyo lakini ukija kumuona ni vitu viwili tofauti. Unakuta mdada labda ulisoma nae sasa mmechat ukaona profile ukasema ngoja nirushe nyavu na wewe hujamuona muda. Sasa akija yani shape siyo yenyewe, uso sio wenyewe na hata rangi siyo yenyewe.
Ilisha ni cost like two months ago nili import mdada kutoka Dar na nikaji mwambafai kwa marafiki kwamba nina consignment nikachukua na hoteli ya bei ghali ila sasa alivyokuja seriously hata kumla siku mla aka kaa siku tatu nikamtoa akarudi zake Dar. Seriously wekeni picha zenu halisi kwenye face book, instagram, profile, status kama kukutaka nikutake kama ulivyo.
nataka niione hiyo sura ya kirembosasa mimi asubuhi nakuwa mrembo kuliko mchana maana akili imetulia na uso pia..ujanja tongoza unaemuona ndo mpango mzimaa
networking love is not real.
njoo kitaaa mkuu mbona simple tu?nataka niione hiyo sura ya kirembo
tunafanyaje sasa
sasa kitaa ndio nitakuona ukiamka au ?njoo kitaaa mkuu mbona simple tu?
hahahahah uwiii mbavu zangu,,, hapo pagumusasa kitaa ndio nitakuona ukiamka au ?
na lengo ni video call
sasa tupalainishehahahahah uwiii mbavu zangu,,, hapo pagumu
sasa itakuwaje?sasa tupalainishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mvizie akiamka mpigie video call
asipopokea kimbia sana
kimbia mbali
Weweeee wacha dharau zako hizo humu mademu wa JF ni mbomba kinyama kama unataka demu ya JF si hivyo kudharau mm mbona ninao tunafurahii tu.Nimeshapigwa sana hasa na mademu wa JF wabovu kichizi......kuna huyo mmoja majuzi ilibidi nijifiche baada ya kumuelekeza na kufika nilipokuwa maeneo ya baa
Inamaana sisi ambao tuna kazi,sio mashoga,sio mapadre, na hatujafika hyo miaka 66 tupo kwenye kundi lipi!!?Nawasifu wadada wa kisasa kwa kuwaendesha puta wavulana wa Kileo. Kila siku kulalamika ingawa uhalisia ni wadada ambao walitakiwa walalamike Kwani siku hizi wanaume ni viumbe adimu kulingana na takwimu za Umoja wa Mataifa. Endelea
View attachment 1845423
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshapigwa sana hasa na mademu wa JF wabovu kichizi......kuna huyo mmoja majuzi ilibidi nijifiche baada ya kumuelekeza na kufika nilipokuwa maeneo ya baa
Mkuu hiyo dp daaaaahWe kula bia tu
Usitamani mke wa mwenzioMkuu hiyo dp daaaaah
Baeleze baeleze, humu kuna visu hatari, anamfahamu Mzigua?Weweeee wacha dharau zako hizo humu mademu wa JF ni mbomba kinyama kama unataka demu ya JF si hivyo kudharau mm mbona ninao tunafurahii tu.