Wadada wacheni hii tabia inakera sana wanaumee - Be real

Acha umende ndugu. Tatizo ni wewe kutafuta wa kumgegeda kwa kuangalia profile zao.
Tongoza unao waona live
Ndo suluhisho lenyewe, sasa yeye analeta lawama zake hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona hao available men also they are not available? 50+32+10+5+3 ni 100%......

So hakuna anayepatikana yupo single?
 
Nimeshapigwa sana hasa na mademu wa JF wabovu kichizi......kuna huyo mmoja majuzi ilibidi nijifiche baada ya kumuelekeza na kufika nilipokuwa maeneo ya baa
 
sasa mimi asubuhi nakuwa mrembo kuliko mchana maana akili imetulia na uso pia..ujanja tongoza unaemuona ndo mpango mzimaa

networking love is not real.
nataka niione hiyo sura ya kirembo
tunafanyaje sasa
 
Nimeshapigwa sana hasa na mademu wa JF wabovu kichizi......kuna huyo mmoja majuzi ilibidi nijifiche baada ya kumuelekeza na kufika nilipokuwa maeneo ya baa
Weweeee wacha dharau zako hizo humu mademu wa JF ni mbomba kinyama kama unataka demu ya JF si hivyo kudharau mm mbona ninao tunafurahii tu.
 
Inamaana sisi ambao tuna kazi,sio mashoga,sio mapadre, na hatujafika hyo miaka 66 tupo kwenye kundi lipi!!?
 
Weweeee wacha dharau zako hizo humu mademu wa JF ni mbomba kinyama kama unataka demu ya JF si hivyo kudharau mm mbona ninao tunafurahii tu.
Baeleze baeleze, humu kuna visu hatari, anamfahamu Mzigua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…