Huwa namaanisha wala sitaniii...Hahahhahaha unapenda eeh?
Ndio maudhui yenyewe hayo...Aaah tena imekuwa hivyo
Na uombe mungu unase hukohuko kwa wachovu,ukikosea njia ukanasa hapa,utakuja kunifungulia uzi...IPO unadhan sijui
Ngoja nijichange hela ya bombadie nitakuja mapema asubuhi jioni nageuzaHahahaha unakuja lini Dodoma basi nikutunuku kitumbua hiyo roho yako iwe kwatu
Anawafanyia na wengine tena makusudi hata mm alipanga kunichora alafu anaongeza na chumvii huyu ana ndimi mbiliii
Msije kusema Demiss haukutuambia ila nawaambia bebishana naye huko pm.
Hamia mpaka WhatsApp mbebishane.
Mlilie njaa zako vya kutosha.
Jiandae kuja kuumbuliwa huku.
Mdada wa jf ukikutana na dume WhatsApp ana sifa zifuatazo umekwishaaa
1.Mweupe
2.Bonge
3. Ana upara
4.Ana macho makubwa.
Umekwisha janjaaa yako hasa wadada wenye njaa msiokuwa na kazi za kufanya mjini mnaosubiria hela za madanga mjiangalie sana nawaambia mnapaswa kuwa makini kwenye sekta ya ufujaji pesa za wanaume kwa msimu huu mgumu.
Dume hili likikupata umekwisha tena uwe una I'd inayojulikana utakomaa utatamani ubadili I'd.
Nyongeza: Wale wanaume wambeya wa jf mkachat sasa pm na tsap mseme Demiss kakusema wewe .
Location : Kufata salary NMB Mazengo.
Hahahhahaha ila mnajali kwa maneno sio kwa hela kama wamachameSana sana
Unajuaga venye wamarangu tunaroho nzuri
Sisi ambao sio maarufu hii tahadhari haituhusu eeh[emoji23][emoji23][emoji23]HAPANA
Mlaji naona anatafuta watu maarufu kama Demiss
Dah...sasa mambo gani haya? [emoji44]Msije kusema Demiss haukutuambia ila nawaambia bebishana naye huko pm.
Hamia mpaka WhatsApp mbebishane.
Mlilie njaa zako vya kutosha.
Jiandae kuja kuumbuliwa huku.
Mdada wa jf ukikutana na dume WhatsApp ana sifa zifuatazo umekwishaaa
1.Mweupe
2.Bonge
3. Ana upara
4.Ana macho makubwa.
Umekwisha janjaaa yako hasa wadada wenye njaa msiokuwa na kazi za kufanya mjini mnaosubiria hela za madanga mjiangalie sana nawaambia mnapaswa kuwa makini kwenye sekta ya ufujaji pesa za wanaume kwa msimu huu mgumu.
Dume hili likikupata umekwisha tena uwe una I'd inayojulikana utakomaa utatamani ubadili I'd.
Nyongeza: Wale wanaume wambeya wa jf mkachat sasa pm na tsap mseme Demiss kakusema wewe .
Location : Kufata salary NMB Mazengo.
Nipe location nikupige...mi nipo Tango hapaUko wapi sasa
Miss you more!Miss u my sister
Hahaha wamachame washajanjarukaHahahhahaha ila mnajali kwa maneno sio kwa hela kama wamachame
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, yaani tayari umesha tuharibia kabisa hapa Dar. Maana sidhani kama wadada wa huku watatuelewa sisi wenye sifa kama ulizo zitaja hapo juu.
Wewe picha yako so uliiweka humu ukiwa unachunga ng'ombe ya bibi?Nilianza kujihisi ni mimi ila kwa vile huyo ana macho makubwa basi siyo mimi.
Hiyo picha iko wapi, labda nimenenepa.Wewe picha yako so uliiweka humu ukiwa unachunga ng'ombe ya bibi?
Mweusi mwembamba...au umenenepa
Jirani uchokozi uache.Wanaume wa jf leo wote weupe na wana macho makubwa..ila kwanini unaukataa ubonge?