Wadada wageni Jf kuweni makini na dume hili la JF

Wadada wageni Jf kuweni makini na dume hili la JF

Anawafanyia na wengine tena makusudi hata mm alipanga kunichora alafu anaongeza na chumvii huyu ana ndimi mbiliii

Anataka kukufanyia hivyo labda sababu anahisi na wewe unawachora wengi humu ndiyo maana...

Poleni aisee... ila atakua keshasoma hii thread na atakuja na atabadilisha mbinu...


Cc: mahondaw
 
Msije kusema Demiss haukutuambia ila nawaambia bebishana naye huko pm.

Hamia mpaka WhatsApp mbebishane.

Mlilie njaa zako vya kutosha.

Jiandae kuja kuumbuliwa huku.

Mdada wa jf ukikutana na dume WhatsApp ana sifa zifuatazo umekwishaaa

1.Mweupe
2.Bonge
3. Ana upara
4.Ana macho makubwa.

Umekwisha janjaaa yako hasa wadada wenye njaa msiokuwa na kazi za kufanya mjini mnaosubiria hela za madanga mjiangalie sana nawaambia mnapaswa kuwa makini kwenye sekta ya ufujaji pesa za wanaume kwa msimu huu mgumu.

Dume hili likikupata umekwisha tena uwe una I'd inayojulikana utakomaa utatamani ubadili I'd.


Nyongeza: Wale wanaume wambeya wa jf mkachat sasa pm na tsap mseme Demiss kakusema wewe .


Location : Kufata salary NMB Mazengo.

Hivi bado watu wanatiana huko halafu wanakuja kusemana public?

Pussy na dick ina overwhelm watu sana aisee!

Na hivi mtu anatongoza mtu JF atakua ameji-sacrifice kiasi gani aisee?

Unawezajikuta unatongoza mkeo kabisa!

What the fvck is that?

Rule nombre uno:.....Usikae utongoze mtu JF,otherwise you will get high with your own supply!
 
Msije kusema Demiss haukutuambia ila nawaambia bebishana naye huko pm.

Hamia mpaka WhatsApp mbebishane.

Mlilie njaa zako vya kutosha.

Jiandae kuja kuumbuliwa huku.

Mdada wa jf ukikutana na dume WhatsApp ana sifa zifuatazo umekwishaaa

1.Mweupe
2.Bonge
3. Ana upara
4.Ana macho makubwa.

Umekwisha janjaaa yako hasa wadada wenye njaa msiokuwa na kazi za kufanya mjini mnaosubiria hela za madanga mjiangalie sana nawaambia mnapaswa kuwa makini kwenye sekta ya ufujaji pesa za wanaume kwa msimu huu mgumu.

Dume hili likikupata umekwisha tena uwe una I'd inayojulikana utakomaa utatamani ubadili I'd.


Nyongeza: Wale wanaume wambeya wa jf mkachat sasa pm na tsap mseme Demiss kakusema wewe .


Location : Kufata salary NMB Mazengo.
Dah...sasa mambo gani haya? [emoji44]
 
Mkuu, yaani tayari umesha tuharibia kabisa hapa Dar. Maana sidhani kama wadada wa huku watatuelewa sisi wenye sifa kama ulizo zitaja hapo juu.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha na wewe umelia,basi kweli yemekukuta! Mkila pesa za wasamalia wema si huwa mnawachomoka ki ulaini Tu,chomokeni na Kwa zee la upala
 
Back
Top Bottom