Wadada wageni Jf kuweni makini na dume hili la JF

Pole kwa yalokukuta
 
Hahahahah hahahahahhahahaha
Uzuri pia sina hata macho makubwa , Demiss ntoe hata buku 5 mtu wangu, naamini ushaondoka Mkombozi huku ukicheka[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Yaani karibia wanaume wote hapa mnataka kutuaminisha kuwa nyie ni weupe 😂😂😂
Jamani Jf.......eti kasoro ubonge na macho makubwa

hhaha alivyotaja mweupe si picha yako ikanijia xtaper sema alipotaja bonge nikakutoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…