Wadada wanadanganywa sana na Rose Shaboka

Wadada wanadanganywa sana na Rose Shaboka

Alianza Joyce Kiria kuwadanganya wanawake kuwa ndoa sio lazima, usingle mother unatosha, alipopata dume jipya akaolewa tena na kuwaacha solemba wafuasi wake.

Wanawake wengi ni wajinga, wanapenda kufarijiwa hata kwenye ujinga, ukishawasoma jinsi walivyo wajinga basi utawapiga pesa mpaka basi.

Mmh wewe!

Huyo msimbe aliolewa tena?

Ila Wanawake bana! Kamshtumu mme wake weee huku akiwashawishi wanawake wengine walio kwenye ndoa kuwa ndoa sio kitu kumbe anawaingiza chaka hata kipindi sijui kiliishia wapi?

Wamebaki wajinga wengine eatv (dadaz) wale nao siku zao zinahesabika ni wajinga kuliko wapenzi wao ila wanaume kazi tunayo hiyo jinsia hafai kuonewa huruma ishi nae kibabe ndo dawa yao!
 
Alianza Joyce Kiria kuwadanganya wanawake kuwa ndoa sio lazima, usingle mother unatosha, alipopata dume jipya akaolewa tena na kuwaacha solemba wafuasi wake.

Wanawake wengi ni wajinga, wanapenda kufarijiwa hata kwenye ujinga, ukishawasoma jinsi walivyo wajinga basi utawapiga pesa mpaka basi.
Hahaha kumbe? Baada ya kuwa amekosa akaamua kuwashauri wenzake na kuonesha kuwa Wanaume ni watu wabaya.

Kumbe alipata Bwana akasepa? Je alirudi kuwambia Wafuasi wake?

Harafu wafuasi wake ni wale Loosers tu.
😆😆
 
Mmh wewe!

Huyo msimbe aliolewa tena?

Ila Wanawake bana! Kamshtumu mme wake weee huku akiwashawishi wanawake wengine walio kwenye ndoa kuwa ndoa sio kitu kumbe anawaingiza chaka hata kipindi sijui kiliishia wapi?

Wamebaki wajinga wengine eatv (dadaz) wale nao siku zao zinahesabika ni wajinga kuliko wapenzi wao ila wanaume kazi tunayo hiyo jinsia hafai kuonewa huruma ishi nae kibabe ndo dawa yao!
Alikuwa anafadhiliwa vipindi na Mwanaccm mmoja kigogo.....alipotymbukiwa pesa zilikata....na kipindi kikafia
 
Alianza Joyce Kiria kuwadanganya wanawake kuwa ndoa sio lazima, usingle mother unatosha, alipopata dume jipya akaolewa tena na kuwaacha solemba wafuasi wake.

Wanawake wengi ni wajinga, wanapenda kufarijiwa hata kwenye ujinga, ukishawasoma jinsi walivyo wajinga basi utawapiga pesa mpaka basi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mimi yule kiria namwitaga ni shetani yezebeli kabisa, kwanza kitendo cha kukiri kwamba aliishi na yule dj miaka 8 akimbania asimzalie watoto, na kwamba aliolewa naye baada ya kupata shida ya kipesa hivyo hakumpenda ila alifuata pesa, na alipomsumbua sana akamaua kuachana naye kwa kukodi magari toka magomeni kuelekea kinondoni kuchukua talaka, nilimwona shetani kabisa. ameadanganya wanawake wengi sana, ila KIleo ndio hakuwa mjinga, alimzaba vibao na matukio juu. huyo zumbukuku ameokota UK ndio sijui naye ...., niishie hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa wa UK sijawahi muelewa wallah.
 
Mmh wewe!

Huyo msimbe aliolewa tena?

Ila Wanawake bana! Kamshtumu mme wake weee huku akiwashawishi wanawake wengine walio kwenye ndoa kuwa ndoa sio kitu kumbe anawaingiza chaka hata kipindi sijui kiliishia wapi?

Wamebaki wajinga wengine eatv (dadaz) wale nao siku zao zinahesabika ni wajinga kuliko wapenzi wao ila wanaume kazi tunayo hiyo jinsia hafai kuonewa huruma ishi nae kibabe ndo dawa yao!
Pale Dadaz kuna mmoja kaolewa na ndoa juu,
 
Alianza Joyce Kiria kuwadanganya wanawake kuwa ndoa sio lazima, usingle mother unatosha, alipopata dume jipya akaolewa tena na kuwaacha solemba wafuasi wake.

Wanawake wengi ni wajinga, wanapenda kufarijiwa hata kwenye ujinga, ukishawasoma jinsi walivyo wajinga basi utawapiga pesa mpaka basi.
BRO HIVI ILI NALO NI DUME?
NI SUALA LA MUDA, HILI PAPAI.
LINA SIFA ZOTE ZA KUAJIRIWA PALE WASAFI
Capture.PNG
 
Kuna mchungaji anajiita Rose shaboka.

Nadhani Kuna mahubiri yake ya hivi Karibuni amekuwa akihamasisha wanawake waendelee kuwa singo na wala wasiwe na haraka ya kukimbilia ndoa.

Ilhali yeye mwenyewe ana ndoa yake tena ameipata kwa kuipambania kutoka kwa msanii wa nyimbo za injili angel Bernard.

Kwanza ndoa yake imekuwa ya migogoro sana mara zote mume wake amekuwa mtu wa kumpiga matukio ila akiwa madhabahuni kama hakuna kinachoendelea.

Wadada kuweni makini na wachungaji wenu.

Ndoa sio maigizo.

Anapenda UNFEMININE huyu dada.

Simsemi kwa ubaya.
Jina lako linaakisi maandishi yako
 
Mtoa mada hapo kwa Angel Bernard naomba usakafie sijaelewa
Huyo mume alikuwa na uhusiano na Angel benard na wamezaa mtoto mkubwa
Ndipo kuolewa mchungaji Rose
Mie sioni ubaya wa Rose sema muhimu akili kumkichwa anashauri watu wasikimbilie ndoa wajiandae kiakili na kila kitu maana ndoa ni kujikana kuvumiliana sio rahisi bora utafute mtu kwa kuchelewa ila muemdane kuliko kukurupuka ukakimbia
 
Back
Top Bottom