Dooh kwahyo na wewe ni mtoto wa ngedere??? Mamako kala hasaraWanawake ni ngedere ebu ukiwaona ngedere watizame kwa makini kisha mcheki demu halafu mpitishe maeneo utaona utashi na hisia zao ni ngedere watupu
Tusubiri kwanza,, wachawi wengi mnoo mambo yasije yakaharibikaπ₯΄π₯΄waambie bana harusi ni mwaka huu wasikuchosheπ
Shemeji yupiπ€Vipi, shemeji umemuandalia kahawa?
Haya, tupe uzoefu kwa unayoyapitia πShemeji yupiπ€
Tuseme amen au tusubiri utupe kifungu?wakati wa Mungu ndio wakati sahihi zaid..tuendelee kuishi ππ€
Sema Amen,, kwa leo inatosha ππ€Tuseme amen au tusubiri utupe kifungu?
AmeeenSema Amen,, kwa leo inatosha ππ€
Nice π₯°Ameeen
Najitolea kukununulia gauniTusubiri kwanza,, wachawi wengi mnoo mambo yasije yakaharibikaπ₯΄π₯΄
siwez pingana au kukubaliana na wew kwa kuwa ni mtazamo na mawazo yakoZamani za kale waliokuwa na muonekano kama wa avatar yako walikuwa smart kichwani na mwilini. Naamini na ww ni mmoja wao ktk zama hizi right?
Yupo humu?Ila yule nilomuona jana anafaa sana kua mke dah mtoto wa watu mpole kupitiliza
Sifa zote anazo mpaka tumezeeka pamojaInaonekana hayo ni mapungufu ya uliye nae
jibu kwanza swali nililokuulizaHaya, tupe uzoefu kwa unayoyapitia π
Mbona unataka kutugombanisha ππ; sifa zote anazo, yupo jikoni ananikaangia samaki sasa hivi, huku amefuga khanga kiunoni.
Pata pepsi ya baridi hapo kwa hisani ya mfuko wakojibu kwanza swali nililokuuliza
Uzoefu upi ninayoyapitia wap
Tuko naye hapa anakucheka kweli πUmejitahidi kuzunguka mwenyewe kumbe mlengwa unamjua umeshindwa kumuwin moyo wake na pesa, ukaamua kujiliza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwann unaruka ruka kama maharagwe jikonPata pepsi ya baridi hapo kwa hisani ya mfuko wako
Uliza tena nikujibu kwa ufasahaKwann unaruka ruka kama maharagwe jikon
hicho kinywaji hakihusian na haya
Hebu jibu hayo maswali