Wadada wanaofaa kuolewa

Wadada wanaofaa kuolewa

Shem huu ujumbe km unataka kumsema shoga angu Missy Gf sema umeshindwa kummention direct?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kivumbi leo
Mbona unataka kutugombanisha 😀😀; sifa zote anazo, yupo jikoni ananikaangia samaki sasa hivi, huku amefuga khanga kiunoni.
 
Mbona unataka kutugombanisha 😀😀; sifa zote anazo, yupo jikoni ananikaangia samaki sasa hivi, huku amefuga khanga kiunoni.

Umejitahidi kuzunguka mwenyewe kumbe mlengwa unamjua umeshindwa kumuwin moyo wake na pesa, ukaamua kujiliza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom