James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Mtazamo wangu ni kuwa watu wanaojibu hivi kwa maswali kama haya huwa ktk positive side ya swali.siwez pingana au kukubaliana na wew kwa kuwa ni mtazamo na mawazo yako
Inawezekana upo sawa au si sawa
Sahihi na kwako piaMtazamo wangu ni kuwa watu wanaojibu hivi kwa maswali kama haya huwa ktk positive side ya swali.
Uwe na mchana mwema
rejea nyuma tusichoshaneUliza tena nikujibu kwa ufasaha
Wewe unaonekana ni mtata, mume lazima awe na kazi ya ziadarejea nyuma tusichoshane
Tuko naye hapa anakucheka kweli 😀
Hauzi, ye anataka upendo tu 😀Ko ushapata pesa za kumpa ndo mnanicheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hauzi, ye anataka upendo tu 😀
Eti huyu nae mke wa mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] subiri aje hapa akuchambe
Eti huyu nae mke wa mtu
Niko naye hapa nampa maupendo tu 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] subiri aje hapa akuchambe
Sivai khanga..Kwa nini hauna?
Amina nawe ubarikiwe piaAsante kipenzi nimekuelewa [emoji4][emoji847]...barikiwa sana[emoji1374]
Sawa. Nawe ubarikiweSasa nimekuelewa rafiki yangu...barikiwa sana[emoji4][emoji847]
Hapana sio kweli.Mkiwa na msimamo thabiti wa kutokuwazia kuoa kwakweli mtaishi kwa furaha sn
Amen🤗🤗Sawa. Nawe ubarikiwe