Wadada wanaofaa kuolewa

Situmii kilevi chochote
Kwann umeulizaπŸ˜…
Nimeuliza kwa sababu, tunatakiwa tuonyeshe uzalendo wa kulinda ajira za ndugu zetu wanaofanya kazi katika viwanda vya vinywaji.
Kwa sababu hutumii, wewe sio mzalendo bali ni mbinafsi.
 
Hakuna shida afya yangu kwanza
Nimeuliza kwa sababu, tunatakiwa tuonyeshe uzalendo wa kulinda ajira za ndugu zetu wanaofanya kazi katika viwanda vya vinywaji.
Kwa sababu hutumii, wewe sio mzalendo bali ni mbinafsi.
 
Umesahau kigezo kimoja hakikisha mchumba wako anamatako makubwa usijeanza kutamani wake zetu wenye matako manene

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Popote pale ulipo [mention]Leejay49 [/mention] , nitafute Koridon , Nina ujumbe wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…