Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #281
😀😀😀 vipi unatumia serengeti?Hapana sina utata wowote usinihukumu haya ni maandishi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 vipi unatumia serengeti?Hapana sina utata wowote usinihukumu haya ni maandishi tu
Hata footballer wa kufundishwa (CR7) hawezi kuwa bora kama yule talented (Messi The GOAT)Wengine wanasema ujasiriamali sio akili ya kuzaliwa nayo, bali unaweza kufundishwa na kuwa mjasiriamali.
Itabidi ujenge vibanda vitatumimi ntakua idara ya mapokezi pamoja na Musa na Elia
Nakubaliana na hoja yakoHata footballer wa kufundishwa (CR7) hawezi kuwa bora kama yule talented (Messi The GOAT)
Vinavutia sana wawekezaji, na huo mshepu ulionao; ni full hatariVibukta je?
Situmii kilevi chochote😀😀😀 vipi unatumia serengeti?
Nimeuliza kwa sababu, tunatakiwa tuonyeshe uzalendo wa kulinda ajira za ndugu zetu wanaofanya kazi katika viwanda vya vinywaji.Situmii kilevi chochote
Kwann umeuliza😅
Jamani 😃😃😃🤨Ili umpige tukio au 😀
Hawezi kuliachia hili goma 😀 😀
Na viminiunavaa mataiti tu 😀
Nimeuliza kwa sababu, tunatakiwa tuonyeshe uzalendo wa kulinda ajira za ndugu zetu wanaofanya kazi katika viwanda vya vinywaji.
Kwa sababu hutumii, wewe sio mzalendo bali ni mbinafsi.
Sharti la kwanza uchumba uwe miaka mitatu ili kubaini kama anaigizaAnaweza akafake hayo yote hapo halafu mseme wamewabadilikia kwenye ndoa...Anyways tumekusikia[emoji18][emoji4]
Umesahau kigezo kimoja hakikisha mchumba wako anamatako makubwa usijeanza kutamani wake zetu wenye matako maneneNdoa sio ya kila mtu, ndio maana wengine wanazeeka wakiwa singo.
kwa kutumia uzi huu, kwa wale wadada wanaotaka kuolewa inabidi wajitathmini kama hizi sifa wanazo, kama hawana wajitahidi kujifunza kabla jua halijazama.
Sifa zenyewe ni hizi hapa:-
Asiwe na marafiki wengi; marafiki wengi huwa ni vimeo, ukiwaomba ushauri watakupoteza kwa kufikiria ujana; wanaweza kukushauri uwe unamnyima mpenzi wako mtarajiwa tendo la ndoa na ukifuata ushauri wao, unapotea mazima. Awe anapenda kupika kuliko kununua nuna vyakula tayari ambavyo vimepikwa mfano chipsi, nyama choma n.k Awe na uwezo wa kutafsiri kesho kuliko sasa Awe anapenda kufanya shughuli za nyumbani, kama kupika pika, kufua, kufanya usafi n.k bila kutegemea kutumia kijana wa kazi Awe na sifa ya kupenda kufunga kanga akiwa nyumbani Akitembelewa haruhusu mgeni wake kuondoka bila kula chakula chake alichopika Akimtembelea mpenzi wake wa kiume anapoishi atajitahidi kumfanyia usafi wa nyumba, kufua, kukupikia n.k Akiwa na mpenzi wake muda wote wanakuwa na furaha, na anakuwa sio mjuaji wa maneno mengi. Aombi ombi hela hovyo, ukimuambia sina atakuvumilia, na wakati mwingine atakushauri tufanye hili au lile ili tupate hela. Anakuwa na mawazo ya kubana matumizi ili mfanye mambo ya maana. Anapenda kushiriki ibada katika dini yakeKama yupo humu mwenye hizo sifa na amefikisha miaka 40 hajaolewa, anyooshe mkono juu tumshauri cha kufanya.
Mbinguni hamna hayo mambo kaka...Itabidi ujenge vibanda vitatu
Labda iwe hivyoSharti la kwanza uchumba uwe miaka mitatu ili kubaini kama anaigiza
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Au unasemaje 😀Jamani 😃😃😃🤨
Hapo ni full kuvutia wawekezaji wasiotaka makazi ya kudumuNa vimini