Wadada wanaofaa kuolewa

Nimeoa mkuu, mwaka wa 23 huu; pia tunapasha pasha huku nje ili kuwapa kampani hawa ambao hawajaolewa, wasijihisi vibaya kwamba tumewatenga.
🀣🀣Unawapa kampani ama unakimbia ushangazi wa mkeo?

Safi lakin vibinti vibichi vinamsaidia kutunza ndoa yake,yenye 23 years anniversary πŸ™
 
Kwahiyo unataka kusema wanawake wote waliofikisha miaka 30 bila kuolewa sio wife material?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…