Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Sifa nyingine hii hapa;
Asiwe na Apps za Tik tok, Jeiefu na Badoo kwenye Simu yake😂
Asiwe na Apps za Tik tok, Jeiefu na Badoo kwenye Simu yake😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapaswi kuziishi bali inapaswa kuwa ni tabia yake halisi (Intrinsic behavior)Ebu jaribu kuziishi hizo sifa ukiwa na mpenzi wako, nakuahidi ndani ya miezi sita tu, utatulete kadi za harusi
Tatizo, fainali ni uzeeniMkiwa na msimamo thabiti wa kutokuwazia kuoa kwakweli mtaishi kwa furaha sn
vipi wahuni wameshakuadd kwenye group la watakaochomwa moto siku ya mwisho?Nimeoa mkuu, mwaka wa 23 huu; pia tunapasha pasha huku nje ili kuwapa kampani hawa ambao hawajaolewa, wasijihisi vibaya kwamba tumewatenga.
Hapana sina utata wowote usinihukumu haya ni maandishi tuWewe unaonekana ni mtata, mume lazima awe na kazi ya ziada
unavaa mataiti tu 😀Sivai khanga..
Tutakuwa wateule wachache tutakaosherehekea na kina mama jusivipi wahuni wameshakuadd kwenye group la watakaochomwa moto siku ya mwisho?
mimi ntakua idara ya mapokezi pamoja na Musa na EliaTutakuwa wateule wachache tutakaosherehekea na kina mama jusi
Endeleeni kuvaa majinsi tuHapo kwenye kufunga kanga mbona mtihani mweee
Mbona amen zimezidi; chukua chuma hicho 😀Amen🤗🤗
Niko naye hapa nampa maupendo tu 😀
Inaashiria kujistiri, na kuonyesha yeye ni mtu wa kazi katika familiaEquation x kuvaa kanga nayo sifa eti? Naomba kueleweshwa umuhimu wa mwanamke kuvaa kanga akiwa nyumbani.
Vibukta je?Endeleeni kuvaa majinsi tu
Tulia wewe 🤨🤨,, namvuta taratibu taratibu😂😂😂🙌Mbona amen zimezidi; chukua chuma hicho 😀
Wengine wanasema ujasiriamali sio akili ya kuzaliwa nayo, bali unaweza kufundishwa na kuwa mjasiriamali.Hapaswi kuziishi bali inapaswa kuwa ni tabia yake halisi (Intrinsic behavior)
Ili umpige tukio au 😀Tulia wewe 🤨🤨,, namvuta taratibu taratibu😂😂😂🙌