Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #301
Unakunya kama nne tu kwa afya ya akili na mwiliHakuna shida afya yangu kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakunya kama nne tu kwa afya ya akili na mwiliHakuna shida afya yangu kwanza
Haya yaliyojifinyanga ni ugonjwaUmesahau kigezo kimoja hakikisha mchumba wako anamatako makubwa usijeanza kutamani wake zetu wenye matako maneneView attachment 2717231
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Njia ya kwenda mbinguni ni ipi?Mbinguni hamna hayo mambo kaka...
kule kuna NChi mpya
Kipindi hicho chote cha matazamio mnakuwa mnapigana shoo, mkichokana mnaachana 😀Labda iwe hivyo
Anayekataa ndoa, atakuwa na upungufu wa nguvu
Sina cha kusema hadi hapo😃😃🤷♀️Au unasemaje 😀
Tunakula wali au hatuli? 😀Sina cha kusema hadi hapo😃😃🤷♀️
nlishakwambia huu mwaka hauishi 😃😃Tunakula wali au hatuli? 😀
Watoto kwangu ndio furaha mkuu, sio ndoaHapana sio kweli.
Hakuna faraja kwenye haya maisha bila mke na watoto
Hii app ya Badoo ndani ya week hizi mbili tu nishatafuna vitumbua karibu vi-4 bila tafrani, km mwanamke wako yupo humo usijihesabie Una mke maisha Bali Una kidonda[emoji39]Sifa nyingine hii hapa;
Asiwe na Apps za Tik tok, Jeiefu na Badoo kwenye Simu yake[emoji23]
Kama ninyi mlivyo mizigoYani wanaume huwa mnachekesha sana, unataka mwanamke mwenye sifa zote hizo halafu bado unaenda kuchepuka na mwanamke ambaye hana sifa hata moja kati ya hizo, na bado unamhonga hela (ambazo mwanamke wako mkamilifu kakusaidia kuzitafuta) eti kisa tu mchepuko anajua kukatika
Halafu kwanini unataka mwanamke wa kukufanyia yote hayo na bado asikuombe hela na akusaidie kuzitafuta, wewe jukumu lake kwako linakuwa lipi sasa, maana hapo ninachokiona ni mwanaume kuwa mzigo tu kwa huyo mwanamke
Yani yeye akufanyie majukumu yote hayo muda wowote unaotaka ila wewe kumpa pesa ni hadi ujisikie, ndio maana nasemaga mwanamke kukubaliana na matakwa ya mwanaume wa kiafrika inakubidi usiwe na akili, wanaume wengi wa kiafrka ni mizigo
sawasawaHii app ya Badoo ndani ya week hizi mbili tu nishatafuna vitumbua karibu vi-4 bila tafrani, km mwanamke wako yupo humo usijihesabie Una mke maisha Bali Una kidonda[emoji39]
Wakizeeka ndo ninge hufuata
Hakuna mwanamke mzigo ila ni kwamba tu wanaume wengi siku hizi mnakimbia majukumu yenu, ni hivi mwanaume jukumu lake ni kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto na mwanamke jukumu lake ni kufanya kazi za ndani na kulea mme na watoto na kama ni kusaidiana majukumu basi kila mmoja asaidie ya mwenzie, anything short of that basi ujue mmoja ni mzigo kwa mwenzie na kamfanya mwenzie mtumwaKama ninyi mlivyo mizigo
Kufuata amri za Mungu na Imani ya YesuNjia ya kwenda mbinguni ni ipi?
Pole hukubahatika kupata mwanamke type yako mkaendana na ukapata ladha ya mwanamke uka enjoy life la Adam na Hawa kwenye bustanWatoto kwangu ndio furaha mkuu, sio ndoa
kama haya ndio mawazo yako naomba unicheki smsHakuna mwanamke mzigo ila ni kwamba tu wanaume wengi siku hizi mnakimbia majukumu yenu, ni hivi mwanaume jukumu lake ni kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto na mwanamke jukumu lake ni kufanya kazi za ndani na kulea mme na watoto na kama ni kusaidiana majukumu basi kila mmoja asaidie ya mwenzie, anything short of that basi ujue mmoja ni mzigo kwa mwenzie na kamfanya mwenzie mtumwa
Huyo binti ni mzuri chunguza vizuri, kana shep na sura nzuri, na anajijua ni mzuri ana options, ndo maana kanapata nguvu ya kukimbia wanaume, na kuwapa wanaume Shikamoo za kuwachora, angekuwa mbovu angejioa yeye mwenyewe na Shikamoo zake na mbio zake mbona TeslaratiUmeongea point mwishon. Dogo anawaogopa wazazi wake balaa
Binti kumuapproach ni ngumu, ndo kinafanya kawe special hadi wanakagombania. We unaanzaje kumtongoza dem anaekusalimia shikamoo na kusepa kila ukionana nae?
Na hii vita ni ya chinichini hata wazazi sijajua kama washajua wanaandaliwa kimtego, haya mambo yapo hasa kwa mabinti wa kiislam na kiarabu