[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Oooh!! Pole sana mpendwa, usijali Mungu atatenda tu. Usikate tamaa.
Mie nipo tu namshukuru Mungu.
HahahahaHalaf jf ina member 10 tu ujue hilo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe unazochache hivyo!! Mie ninazo 20.Hehehemi nnazo 3 wewe je?
Ndio tujihesabuHahahaha
Bas kati ya hao mim id yangu 1 tu
Haaaha mkuu unaogopa kuretweet?? [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nna account yangu twitter nili ifungua ku mfollow Trump
Yaan kaz yangu ni kuingia na kuangalia twts za Trump halaf mengine yana nishinda
Hahahahah uwiiiii ngoja ntaongezaaa aisee nijitahidi nikufikieKumbe unazochache hivyo!! Mie ninazo 20.
Mie angalau twitter account nilifungua ila huwa naishia kusoma tweets tu, jf ndio hata sijui inafunguliwaje, nilivyofunguliwa ndio mpaka leo.Nna account yangu twitter nili ifungua ku mfollow Trump
Yaan kaz yangu ni kuingia na kuangalia twts za Trump halaf mengine yana nishinda
Ni kweli, yu mwema sana kwetu.[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Tunasema ni akhasante kwa rehema zake na pumzi ya bure.
Yaani we kidume kabisa alafu unakuwa na id chache hivyo, hebu ongezaongeza ili urahisishe kujitongoza na kujikubali.Hahahahah uwiiiii ngoja ntaongezaaa aisee nijitahidi nikufikie
We jemba umenifungia macho halaf ntakula mademu wako woteYaani we kidume kabisa alafu unakuwa na id chache hivyo, hebu ongezaongeza ili urahisishe kujitongoza na kujikubali.
HahahaMie angalau twitter account nilifungua ila huwa naishia kusoma tweets tu, jf ndio hata sijui inafunguliwaje, nilivyofunguliwa ndio mpaka leo.
HahahaHaaaha mkuu unaogopa kuretweet?? [emoji2] [emoji2] [emoji2]
HahaaaNdio tujihesabu
Yaani ww acha watu wana wivu sana walinichongea kwa mods njoo inbox kwanza coz naona hapa sio mahala salama kwetuUlifanya nini jamani?
Vp usharud CBD... Zawad yako bado ipo japo mvua zimekataa[emoji13] [emoji13]Ni kweli, yu mwema sana kwetu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahaha
Halafu jf watu wanajuaga ni mtandao wa wana siasa tu,
Na hivi kama Mr Melo ana kesi wadada wataogopa kuja kabsa
Poa naja.Yaani ww acha watu wana wivu sana walinichongea kwa mods njoo inbox kwanza coz naona hapa sio mahala salama kwetu
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app