Skate Boy
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 312
- 204
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji115] [emoji115]Halaf inakuwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji115] [emoji115]Halaf inakuwaje
Mie kidume cha mbegu kiwatengu, hebu nitake radhi.
Je ukija mkuta ni Bibi Kizee?Mnafanyafanyaje mpaka wanakubali muonane? Mi mbona hawataki[emoji30] [emoji30] [emoji31] [emoji31] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Safi Malcom, habari ya weye?Atoto mambo!
Umeturahisishia wajumbe wapya JF kupata fursa ya kutambua ubavu wetu wa kushoto na kuweza kufanya socializationKwann mkuu??
Haha vijana wabaya sana wanalazimisha kuona hasira za mkuu the bold Eti amedate ME bila kujua?Wapendwa...siwezi kutumia nguvu nyingi kudhihirisha jinsia yangu.
Sioni haja wala sina sababu ya kufanya hivyo.
Endeleeni kumsoma Nifah kama Nifah.
Asanteni.
Mimi nipo Iringa, Wilaya ya Mufindi, kijiji cha Malangali.
Wewe mwenzangu uko wapi?
Haha vijana wabaya sana wanalazimisha kuona hasira za mkuu the bold Eti amedate ME bila kujua?
Hahahahahahah kwanza bora muamini ni kidume ili usumbufu uishe aiseeee maana khaaaaa mpaka wifey imebidi afunge PM [emoji12] [emoji12] [emoji23]
ni wife wako kweli? braa braa...utaja lia hapa na ujanja wako woteHahahahahahah kwanza bora muamini ni kidume ili usumbufu uishe aiseeee maana khaaaaa mpaka wifey imebidi afunge PM [emoji12] [emoji12] [emoji23]
Hahahhah wacha nisiongee sana, but subirini siku nikija kuwataarifu Mungu ametujaalia kumpata The Bold Jr ndio mtaelewa kuwa huwa "nathibitisha" jinsi yake nitakavyo.. [emoji41]
Wazigua oyeeeMzigua90
Barbra ni dume tena haya Mkuu uthibitisho juu ya usemalohumu kuna ndume nyingine inajiita Baabra, ile ni ndume total
Kulia ni sehemu ya maisha! Mfalme Daudi mwenyewe aliumizwa na mapenzi sembuse mimi The bold..ni wife wako kweli? braa braa...utaja lia hapa na ujanja wako wote
Hahahahahahah kwanza bora muamini ni kidume ili usumbufu uishe aiseeee maana khaaaaa mpaka wifey imebidi afunge PM [emoji12] [emoji12] [emoji23]
Hahahhah wacha nisiongee sana, but subirini siku nikija kuwataarifu Mungu ametujaalia kumpata The Bold Jr ndio mtaelewa kuwa huwa "nathibitisha" jinsi yake nitakavyo.. [emoji41]
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Ukinijua wewe yatosha baby,inashangaza watu wanakuhoji kuhusu mimi ambaye tu mwili mmoja sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Awwwwww that's the spirit.Kulia ni sehemu ya maisha! Mfalme Daudi mwenyewe aliumizwa na mapenzi sembuse mimi The bold..
Alafu mwanaume aliyekamilika haogopi kupenda.. Mtu anayejifanya "siwezi kumpenda mwanamke" ni muoga, anaogopa kuumia. Woga ni udhaifu kwenye maisha..
So yes i love her and im not afraid of the consequences..
wavute kwa dawaKaka una bahati wewe mpaka naona wivu....mimi kila nikipangana nao wanaingia mitini kasoro mmoja tuu hapo