Wadada/Wanawake JF wapo!! Verification

Wadada/Wanawake JF wapo!! Verification

Wapendwa...siwezi kutumia nguvu nyingi kudhihirisha jinsia yangu.
Sioni haja wala sina sababu ya kufanya hivyo.
Endeleeni kumsoma Nifah kama Nifah.
Asanteni.
Haha vijana wabaya sana wanalazimisha kuona hasira za mkuu the bold Eti amedate ME bila kujua?
 
Haha vijana wabaya sana wanalazimisha kuona hasira za mkuu the bold Eti amedate ME bila kujua?

teh teh mbona sijaona sehemu The bold amedhibitisha kuwa Nifah ni mwanamke? au hawajuani nje ya PM [emoji1] [emoji1] jf burdan kweli kweli
Hahahahahahah kwanza bora muamini ni kidume ili usumbufu uishe aiseeee maana khaaaaa mpaka wifey imebidi afunge PM [emoji12] [emoji12] [emoji23]

Hahahhah wacha nisiongee sana, but subirini siku nikija kuwataarifu Mungu ametujaalia kumpata The Bold Jr ndio mtaelewa kuwa huwa "nathibitisha" jinsia yake nitakavyo.. [emoji41]
 
Hahahahahahah kwanza bora muamini ni kidume ili usumbufu uishe aiseeee maana khaaaaa mpaka wifey imebidi afunge PM [emoji12] [emoji12] [emoji23]

Hahahhah wacha nisiongee sana, but subirini siku nikija kuwataarifu Mungu ametujaalia kumpata The Bold Jr ndio mtaelewa kuwa huwa "nathibitisha" jinsi yake nitakavyo.. [emoji41]
ni wife wako kweli? braa braa...utaja lia hapa na ujanja wako wote
 
ni wife wako kweli? braa braa...utaja lia hapa na ujanja wako wote
Kulia ni sehemu ya maisha! Mfalme Daudi mwenyewe aliumizwa na mapenzi sembuse mimi The bold..

Alafu mwanaume aliyekamilika haogopi kupenda.. Mtu anayejifanya "siwezi kumpenda mwanamke" ni muoga, anaogopa kuumia. Woga ni udhaifu kwenye maisha..
So yes i love her and im not afraid of the consequences..
 
Hahahahahahah kwanza bora muamini ni kidume ili usumbufu uishe aiseeee maana khaaaaa mpaka wifey imebidi afunge PM [emoji12] [emoji12] [emoji23]

Hahahhah wacha nisiongee sana, but subirini siku nikija kuwataarifu Mungu ametujaalia kumpata The Bold Jr ndio mtaelewa kuwa huwa "nathibitisha" jinsi yake nitakavyo.. [emoji41]

Ukinijua wewe yatosha baby,inashangaza watu wanakuhoji kuhusu mimi ambaye tu mwili mmoja sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Ukinijua wewe yatosha baby,inashangaza watu wanakuhoji kuhusu mimi ambaye tu mwili mmoja sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]

#TheBold's
 
Kulia ni sehemu ya maisha! Mfalme Daudi mwenyewe aliumizwa na mapenzi sembuse mimi The bold..

Alafu mwanaume aliyekamilika haogopi kupenda.. Mtu anayejifanya "siwezi kumpenda mwanamke" ni muoga, anaogopa kuumia. Woga ni udhaifu kwenye maisha..
So yes i love her and im not afraid of the consequences..
Awwwwww that's the spirit.
Naanzaje kukuliza sasa The bold wangu jamani?
Machozi yako kwangu yatakuwa ya furaha and not otherwise.

You know me honey,I love you and you know bout that.

Hakuna anayejua ni jinsi gani nakupenda zaidi yako wewe pekee,ndio maana pamoja na vitisho vyote unavyopewa bado umezidi kuniamini.

Sikupendi kuuthibitishia umma nakupenda, nakupenda sababu moyo wangu unaniambia nakupenda wewe pekee.
Nakupenda sababu unanipa sababu za kukupenda kila uchwao.
Nakupenda sababu sioni mwingine wa kumpenda zaidi yako.
You deserve my all [emoji8] [emoji8] [emoji8]

#TheBoldIsMine#
 
Back
Top Bottom