Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe utuwaachee banaWanajitoaga akili tu wwakiwa humu... Mi nawafahamu wawili kwa kuonana na kuongea... VYUMA HASWA.... lakini niliporudi kusoma makomenti yao nikachoka
Nikipata permission kutoka kwake nitamtaja.Mkuu ukimtaja sio dhambi. Mwenyewe atafurahi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Alafu ndo wapo active balaaMpaka sasa Shunie na Miss Natafuta hawajatajwa,je wao ni Me?
mwanaume huyovalentine
Mtaje basi tumjueNikipata permission kutoka kwake nitamtaja.
Mi siwaachi... wapo wengine wanajitongoza wenyewe... Anatumia ID yake ya Kike au kiume kuitongoza ID nyingine...Nawe utuwaachee bana
binti mrembomwanaume huyo
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] wananiita mchawi
Watajee sasaMi siwaachi... wapo wengine wanajitongoza wenyewe... Anatumia ID yake ya Kike au kiume kuitongoza ID nyingine...
Aisee sikuamini kama ndiyo yeye mpaka alivyonipa ushahidi wa kutosha.Wanajitoaga akili tu wwakiwa humu... Mi nawafahamu wawili kwa kuonana na kuongea... VYUMA HASWA.... lakini niliporudi kusoma makomenti yao nikachoka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Alafu ndo wapo active balaa
Wanaume kujigeuza wadada labda wanataka kuolewa!!! Mwanaume mzima na akili zako ujigeuze dada nia yako nini? Mkiitwa mashoga mnakasirika.Kuweka taarifa sawa...wimbi la wanaume kujigeuza wadada linaongezeka jf
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBaCkBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDenaAmsi[/HASHTAG]