Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,973
- 13,647
Mkuu unapangana nao kuunda urafiki au kuwatambua au kuwatumbua🙁Kaka una bahati wewe mpaka naona wivu....mimi kila nikipangana nao wanaingia mitini kasoro mmoja tuu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unapangana nao kuunda urafiki au kuwatambua au kuwatumbua🙁Kaka una bahati wewe mpaka naona wivu....mimi kila nikipangana nao wanaingia mitini kasoro mmoja tuu hapo
Bora wewe umejisemea[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] bnamu mm nna jinsia mbili
shunieKama kuna anayewafahamu atawataja tu...
Bado
Ni vizuri kama unanijuaNakujua.
Haina haja ya data bwanaWeka data Atoto za kukana uanamke wako
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi siwaachi... wapo wengine wanajitongoza wenyewe... Anatumia ID yake ya Kike au kiume kuitongoza ID nyingine...
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Haya yaishe basi loh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
good kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio fan wala nini!!
Na ni vyema wadada wasipende kuonana na watu, wengine ni wabaya sana! Hawasiti kukuandika jinsi walivyokuona
Na kuponda kwingi.
Mimi kuna wadada nimekutana nao mara kadhaa bila hata wao wenyewe kujijua, wakati unakuta nawajua kabisa na ID zao, but i never write a shit on them...
I respect them...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kalumanzila acha uongo, nilikuja na kaniki yangu ukanikimbia.
We dume jike haujambo?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unapenda ligi mwanamke loh[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sifutiiii.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Unapenda ligi mwanamke loh[emoji23] [emoji23] [emoji23]
mm pia my dear...We dume jike haujambo?
Nimekumisimo.
Hata mimi aiseee!! Wachumba wamekuwa adimu!!mm pia my dear...
natafuta wa kumchumbia na mm
Nakupa hi faru john.....[emoji124] [emoji1]niwe wa kike ,wa kiume au faru john ninawahusu nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaisheee swaiba weee[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Alafu unasema hunifahamu, we haya tu.
Haya hayaishi hivi hivi swahiba.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaisheee swaiba weee
Nipo nipo naja pmmm pia my dear...
natafuta wa kumchumbia na mm