Wadada/Wanawake JF wapo!! Verification

Wadada/Wanawake JF wapo!! Verification

Hahahaa
Mimi toka mwaka juz kuna jamaa alikuwa ana sema kwa nini usijiunge jf kwa kuwa unapenda politics ni mtandao mzuri sana huo, nikawa staki, so nika kwa napitia opera kama guest kuanzia mwaka huu kama mwez wa nne hivi, bas badala ya kwenda politics nkashangaa na fall inluv na MMU na michezo hizo politics nikasahu.
Hahaha aah nilipo ingia tuu moja kwa moja ni kutafuta wanako kuepo kina atoto
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kweli mapenzi yana nguvu, ukasahau siasa kabisaaa.
Mie alikuwaga ananikosha lara 1 na mada zake na alivyokuwa anapangua comments, ndio alinivutia kujiunga humu.
 
Hahaha
Ila mbona wenzetu wa kenya twitter ndio kama IG yao wako kibaoo
Hhaahah mkenya nae mtu... Huko tunakoelekea twitter itakuwa kama yahoo.... Sidhan kama itaeza transform kuja kwenye live chats kama video chats na calls.
 
Hhaahah mkenya nae mtu... Huko tunakoelekea twitter itakuwa kama yahoo.... Sidhan kama itaeza transform kuja kwenye live chats kama video chats na calls.
Hahahaa
Mkenya sio mtu ee
Sasa naonga jamaa hata kama wanatuma video wana attach u tube au IG, ki ukweli nadhan walicho baki kubadilisha ni rangi tu na display hamna kingne pale
 
Yani hua nakufananisha na jamaa mmoja hivi... Mchokozi chokozi na vituko kama wewe.
Hapana mkuu,kuna taarifa kuwa DinaZ ni dume la nguvu wala siyo jike kama tulivyokuwa tunatarajia sasa nataka nijue tu status ya dushe lake![emoji30]
 
Hahahaa
Mkenya sio mtu ee
Sasa naonga jamaa hata kama wanatuma video wana attach u tube au IG, ki ukweli nadhan walicho baki kubadilisha ni rangi tu na display hamna kingne pale
Hahahah wale watani zangu tu.... Wamezidiwa kete mno social networks za kumwaga na kila mmoja ana mbwembwe zake.
 
Wakuu!
Nimeona nyuzi kadhaa na comments kadhaa hapa jukwaani, zikilalamika sana juu ya wanaume kutumia ID za kike ili kupata umaarufu. Wengi wanasema Jf hakuna hii jinsia pendwa ya KE.

Ninaomba tufanye verification kidogo hapa, ili mambo yakae sawa.
Mimi nitawataja wadada waliopo humu ambao nina uhakika 100% ni wadada tena warembo! Wengine nimekutana nao wengine tumewasiliana tena kwa muda mrefu sasa na ni marafiki wazuri pia.

Hii itaondoa dhana nzima ya "jf wengi ni wanaume au hakuna wanawake"....
Kama unaona vyema pia, unaweza kuwaongezea wewe ila uwe na ushahidi!!

shansarie i know her very well [emoji8]
KOKUTONA
Honey Faith
Mamndenyi (namfahamu vyema.)
Valentina
marejesho
Preta (nina uhakika via Arushawing)
Heaven on Earth
Passion Lady
kan'tangaze
mamaafacebook
TUMBOO
angelita
lara 1
Lady doctor (kupitia Arushaone)
miss chagga
Madame B (tulishaongea mara kadhaa)
MMAHE
mwallu (rafiki wa muda mrefu).
atoto (well verified...)
.............
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] hao hapo nina uhakika kabisa ni KE.
Kuna wengine nimewasahau kidogo nikiwakumbuka...nitaendelea na verification.

Jf warembo wapo....
Du kumbe mnaweza kuwasaidia POLISI maana Max alikataa kabisavkuwa hamjui yeyote hata jinsia, je hawa wenye jinsia 2 ni dume lkn ansjifanya Ke
 
Kuweka taarifa sawa...wimbi la wanaume kujigeuza wadada linaongezeka jf



[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBaCkBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDenaAmsi[/HASHTAG]
Umenena Vema kabisa Mkuu...sijui huju jamaa Dinazarde haelewi nini hapo...yeye anajua kutaja tuuu,hata kama kawasiliana nao...haitoshi...lazima kuthibitisha kama ulivyofanya wewe physically au kupitia kwa Mtu ambae ameshamuona/waona
 
Back
Top Bottom