Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
HahahaWahovyo sana afu hamna story story mule wala udaku... Maneno kadhaa tu mwisho.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ila mbona wenzetu wa kenya twitter ndio kama IG yao wako kibaoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaWahovyo sana afu hamna story story mule wala udaku... Maneno kadhaa tu mwisho.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahaa
Mimi toka mwaka juz kuna jamaa alikuwa ana sema kwa nini usijiunge jf kwa kuwa unapenda politics ni mtandao mzuri sana huo, nikawa staki, so nika kwa napitia opera kama guest kuanzia mwaka huu kama mwez wa nne hivi, bas badala ya kwenda politics nkashangaa na fall inluv na MMU na michezo hizo politics nikasahu.
Hahaha aah nilipo ingia tuu moja kwa moja ni kutafuta wanako kuepo kina atoto
Hivi mkuu ya kwako ni kibamia au ni limuhogo la nguvu?[emoji1]Halaf jf ina member 10 tu ujue hilo [emoji23][emoji23][emoji23]
Okey weka no2,3 basiBahati yako sikujui ungekua No 1 kwenye list yangu.
Hhaahah mkenya nae mtu... Huko tunakoelekea twitter itakuwa kama yahoo.... Sidhan kama itaeza transform kuja kwenye live chats kama video chats na calls.Hahaha
Ila mbona wenzetu wa kenya twitter ndio kama IG yao wako kibaoo
Pande zile yupo sana tu, ni huku ndio kawa adimu sana.Kweli huyu mrembo kawa adimu sana jamani... Hebu mwangalie pande zile
Yani hua nakufananisha na jamaa mmoja hivi... Mchokozi chokozi na vituko kama wewe.Hivi mkuu ya kwako ni kibamia au ni limuhogo la nguvu?[emoji1]
HahahaaHhaahah mkenya nae mtu... Huko tunakoelekea twitter itakuwa kama yahoo.... Sidhan kama itaeza transform kuja kwenye live chats kama video chats na calls.
Hapana mkuu,kuna taarifa kuwa DinaZ ni dume la nguvu wala siyo jike kama tulivyokuwa tunatarajia sasa nataka nijue tu status ya dushe lake![emoji30]Yani hua nakufananisha na jamaa mmoja hivi... Mchokozi chokozi na vituko kama wewe.
Inabidi tuonane nikufanyie upekuzi. Hii ni JF operation verifier[emoji2]Mimi mwanamama hamna wa kunithibitisha jaman
Ha ha ha ila fake I'd noma.We tangu lini ukawa mwanamke!!! Hebu tutake radhi.
Hahahah wale watani zangu tu.... Wamezidiwa kete mno social networks za kumwaga na kila mmoja ana mbwembwe zake.Hahahaa
Mkenya sio mtu ee
Sasa naonga jamaa hata kama wanatuma video wana attach u tube au IG, ki ukweli nadhan walicho baki kubadilisha ni rangi tu na display hamna kingne pale
ushachelewa[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Sikat tamaa
Sku moja ntapata
Du kumbe mnaweza kuwasaidia POLISI maana Max alikataa kabisavkuwa hamjui yeyote hata jinsia, je hawa wenye jinsia 2 ni dume lkn ansjifanya KeWakuu!
Nimeona nyuzi kadhaa na comments kadhaa hapa jukwaani, zikilalamika sana juu ya wanaume kutumia ID za kike ili kupata umaarufu. Wengi wanasema Jf hakuna hii jinsia pendwa ya KE.
Ninaomba tufanye verification kidogo hapa, ili mambo yakae sawa.
Mimi nitawataja wadada waliopo humu ambao nina uhakika 100% ni wadada tena warembo! Wengine nimekutana nao wengine tumewasiliana tena kwa muda mrefu sasa na ni marafiki wazuri pia.
Hii itaondoa dhana nzima ya "jf wengi ni wanaume au hakuna wanawake"....
Kama unaona vyema pia, unaweza kuwaongezea wewe ila uwe na ushahidi!!
shansarie i know her very well [emoji8]
KOKUTONA
Honey Faith
Mamndenyi (namfahamu vyema.)
Valentina
marejesho
Preta (nina uhakika via Arushawing)
Heaven on Earth
Passion Lady
kan'tangaze
mamaafacebook
TUMBOO
angelita
lara 1
Lady doctor (kupitia Arushaone)
miss chagga
Madame B (tulishaongea mara kadhaa)
MMAHE
mwallu (rafiki wa muda mrefu).
atoto (well verified...)
.............
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] hao hapo nina uhakika kabisa ni KE.
Kuna wengine nimewasahau kidogo nikiwakumbuka...nitaendelea na verification.
Jf warembo wapo....
Umenena Vema kabisa Mkuu...sijui huju jamaa Dinazarde haelewi nini hapo...yeye anajua kutaja tuuu,hata kama kawasiliana nao...haitoshi...lazima kuthibitisha kama ulivyofanya wewe physically au kupitia kwa Mtu ambae ameshamuona/waonaKuweka taarifa sawa...wimbi la wanaume kujigeuza wadada linaongezeka jf
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBaCkBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDenaAmsi[/HASHTAG]
Acha kuwanga usiku na uache uchawi. WanakuogopaMnafanyafanyaje mpaka wanakubali muonane? Mi mbona hawataki[emoji30] [emoji30] [emoji31] [emoji31] [emoji24] [emoji24] [emoji24]