Wadada/wanawake msijidanganye kwa hili

Wadada/wanawake msijidanganye kwa hili

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Happy hurry Xmass to you all and I wish alot of love and happiness.

Narudi kwenye point wanawake msijidanganye kuwa eti kwa maana humuombi boyfriend/fiancee/mume pesa kisa wewe ni mwanamke wa shoka.

Ambaye unajitahidi kutafutia riziki nakujitunza mwenyewe so huna mpango wa kuomba hela kwa mhusika hiyo inaitwa UNAJIKOMBA NA WALA HATOJALI UNACHOFANYA.

Raha ya mwanaume kuchunwa, kuchunwa kupewa majukumu.

Sio unamlipia kodi, unamlisha, unamvisha watoto unawasomesha yeye anapeleka hela wapi??
Na asubuhi unavyomuandalia chai asubuhi anaenda kutafuta riziki ni yanani kwa sababu ipi.

Mwenzenu kafa kisa kujikomba alidhania kujituma hadi basi ndio zawadi kumbe hawara ndio kapewa nyumba na gari jipya.

Yeye kaachwa nyumba ya kupanga.
Ya udongoo.
My take acheni kujikomba mwanaume mpe majukumu ndio maana yupo duniani.

Anakuchafua/unamlisha/unamfulia/unampa hela kweli nyie akina dada shughuli ipo.

Mama yako yupo kijijini nguo ya ndani hana.
Huku mjini unahonga mpaka.
Na kuwanunulia wanaume simu mupiyaa.
Shauri yenu.
Mtakuja kulia .
Wanaume sio wakupewa vitu au wakusotewa eti ili uitwe mwanamke wa shoka wanaume hawajui umuhimu wa kitu yeye kilichombele yake.
Ndio saizi yake.
Good day.......
 
Ushauri wako ni kwamba "Tupige mizinga" je tukifanya hivo ndiyo hawatahonga gari na majumba huko kwingine?

Haina haja ya kizinga mume, baby muelewa atakupa mwenyewe si hadi umchomoe bana
Asee sanamu lako tuliweke wap BUNGENI au stend mpya ya Magufuli kila abiria alione?

Nyie ndio wanawake wenye akili
 
Happy hurry Xmass to you all and I wish alot of love and happiness.

Narudi kwenye point wanawake msijidanganye kuwa eti kwa maana humuombi boyfriend/fiancee/mume pesa kisa wewe ni mwanamke wa shoka .
Ambaye unajitahidi kutafutia riziki nakujitunza mwenyewe so huna mpango wa kuomba hela kwa muhusika hiyo inaitwa UNAJIKOMBA NA WALA HATOJALI UNACHOFANYA.

Raha ya mwanaume kuchunwa kuchunwa kupewa majukumu.

Sio unamlipia kodi , unamlisha , unamvisha watoto unawasomesha yeye anapeleka hela wapi??
Na asubuhi unavyo mwandalia chai asubuhi anaenda kutafuta riziki ni yanani kwa sababu ipi.

Mwenzenu kafa kisa kujikomba alidhania kujituma hadi basi ndio zawadi kumbe hawara ndio kapewa nyumba na gari jipya.

Yeye kaachwa nyumba yakupanga.
Ya udongoo.
My intake acheni kujikomba mwanaume mpe majukumu ndio maana yupo duniani .

Anakuchafua/unamlisha/unamfulia/unampa hela kweli nyie akina dada shughuli ipo.

Mama yako yupo kijijini nguo ya ndani hana .
Uku mjini unahonga mpaka.
Nakuwanunulia wanaume simu mupiyaa.
Shauri yenu.
Mtakuja kulia .
Wanaume sio wakupewa vitu au wakusotewa eti ili uitwe mwanamke wa shoka wanaume hawajui umuhimu wa kitu yeye kilichombele yake.
Ndio saizi yake.
Good day.......
Umeanza vizuri lakin hapo kwenye "raha ya mwanaume kuchunwa" hiyo ni nothing but pathetic excuse

Kazi ya mwanaume ni kumtunza mwanamke wake na familia lakin sio iwe kuchunwa. Kama una uwezo unasaidia baadhi ya mambo. Si kulalia kwa mwenzako kisa unajiona una right ya kuteketeza hela yake for no apparent reason. Labda kama hiyo pesa haina mipango na kazi.

Otherwise una influence udangaji. Sasa ww utakuwa na tofauti gani na wadangaji wa huko nje?
Hii ni mindset ya kimalaya. Haifai kwa wale wanaotaka kuolewa
 
Umeanza vizuri lakin hapo kwenye "raha ya mwanaume kuchunwa" hiyo ni nothing but pathetic excuse

Kazi ya mwanaume ni kumtunza mwanamke wake na familia lakin sio iwe kuchunwa. Kama una uwezo unasaidia baadhi ya mambo. Si kulalia kwa mwenzako kisa unajiona una right ya kuteketeza hela yake for no apparent reason. Labda kama hiyo pesa haina mipango na kazi.

Otherwise una influence udangaji. Sasa ww utakuwa na tofauti gani na wadangaji wa huko nje?
Hii ni mindset ya kimalaya. Haifai kwa wale wanaotaka kuolewa
Sure hiii imekaa kimalaya Malaya .
 
Umeanza vizuri lakin hapo kwenye "raha ya mwanaume kuchunwa" hiyo ni nothing but pathetic excuse

Kazi ya mwanaume ni kumtunza mwanamke wake na familia lakin sio iwe kuchunwa. Kama una uwezo unasaidia baadhi ya mambo. Si kulalia kwa mwenzako kisa unajiona una right ya kuteketeza hela yake for no apparent reason. Labda kama hiyo pesa haina mipango na kazi.

Otherwise una influence udangaji. Sasa ww utakuwa na tofauti gani na wadangaji wa huko nje?
Hii ni mindset ya kimalaya. Haifai kwa wale wanaotaka kuolewa
Umemalizia vizuri kabisa " MINDSET YA KIMALAYA"
 
Happy hurry Xmass to you all and I wish alot of love and happiness.

Narudi kwenye point wanawake msijidanganye kuwa eti kwa maana humuombi boyfriend/fiancee/mume pesa kisa wewe ni mwanamke wa shoka .
Ambaye unajitahidi kutafutia riziki nakujitunza mwenyewe so huna mpango wa kuomba hela kwa muhusika hiyo inaitwa UNAJIKOMBA NA WALA HATOJALI UNACHOFANYA.

Raha ya mwanaume kuchunwa kuchunwa kupewa majukumu.

Sio unamlipia kodi , unamlisha , unamvisha watoto unawasomesha yeye anapeleka hela wapi??
Na asubuhi unavyo mwandalia chai asubuhi anaenda kutafuta riziki ni yanani kwa sababu ipi.

Mwenzenu kafa kisa kujikomba alidhania kujituma hadi basi ndio zawadi kumbe hawara ndio kapewa nyumba na gari jipya.

Yeye kaachwa nyumba yakupanga.
Ya udongoo.
My intake acheni kujikomba mwanaume mpe majukumu ndio maana yupo duniani .

Anakuchafua/unamlisha/unamfulia/unampa hela kweli nyie akina dada shughuli ipo.

Mama yako yupo kijijini nguo ya ndani hana .
Uku mjini unahonga mpaka.
Nakuwanunulia wanaume simu mupiyaa.
Shauri yenu.
Mtakuja kulia .
Wanaume sio wakupewa vitu au wakusotewa eti ili uitwe mwanamke wa shoka wanaume hawajui umuhimu wa kitu yeye kilichombele yake.
Ndio saizi yake.
Good day.......
Hizi ni sampuli zile za wanawake wa kuliwa mbususu na kupewa kifuta jasho alafu kila mtu anakula njia yake Hadi hapo Tena utakapo jisikia umekimisi kidubwasha chake Tena.

Kifupi you don't deserve marriage waachie wenzio hiyo nafasi
 
Back
Top Bottom