amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Nakufa nakufa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Mimi pia imewahi nitokea hii na ni Almost people zote ninazokutana nazo
hunipiga fix kuwa "huu ni mwezi wa 6 kama sio mwaka" unaenda hajakwichi kwichi
sinaga papara maana nasubiriaga tu nione vitendo,nishawahi ingia chimbo 1 hilo
nikakaa kama mwezi tu,huku nyuma nilikua naambiwa "nakufa nakufa" nikawa namuuliza
unakufa unaumwa? akasema hapana siumwi ila nimebanwa Fanya mpango UJE au NIJE MIMI
nikasema hapa nisipotimiza haja ya watu "nachapiwa", nika solve tatizo chap chap ila kichwani
nikawa nawaza sana "huyu mbona aliniambiaga anaweza kaa hata mwaka" ki ukweli hivi viumbe "sivielewi"
Yupo sahihi.
Wala si kama wanakupiga fix.