Wadada/wanawake upo tayari kukaa bila ku test mitambo mpaka siku yenu ya ndoa?

Nakufa nakufa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Yupo sahihi.

Wala si kama wanakupiga fix.
 
Ila hii dunia kuna wanaume wazuri sana.
Ngoja niishie hapa [emoji1787]
 
Kuna mpumbavu kanipiga 90 Days rule...namcheki tu🙄 ila ipo siku ataita maji MMa😋
 
Kwa sababu tayari umeshakubali kuwa ninyi wanaume hamuwezi kusubiri nikiona unataka kusubiri nitajiuliza UNAFICHA NINI???
Pia nitajiuliza mwanaume huyu katokea sayari gani??? Isijekuwa ni jini
( Samahani komenti imejiandika)
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyo alikua anakumaindi Sana au papuch yako iko too hot this why jamaa alikua ana cum mapema,it seems you are too hot baby
 
Kipengele kigumu sana ila kinawezekana sana....
Nafikiri wapo wachache waliokiweza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…