Wadada wapi wanapata hii huduma??????

Wadada wapi wanapata hii huduma??????

Kalaghabao Speedo,mambo yote siku hizi kwa kina mama ni kwenye Gym.Kwa sasa zimetapakaa jiji zima,ukipata muda kachungulie ndani uone mibaba (inaitwa instructors) waangalie misuli ilivyovimbiana (wenyewe kina mama wanaita six pack).Sasa wewe Speedo ,usafiri wako makalio(gari),ukitoka kazini breki ya kwanza Rose Garden ,ni mikuku,mibia,mimbuzi,mimchemsho,ukitoka hapo nyumbani hotpot sharti uonje vinginevyo asubuhi mama chanja hamutaelewana,kisha hapo tumbo hiloooo,tumikono hutwooooo,tumiguu hutwoooo,utashindana kweli na 'six pack'?. Na kwa taaifa yako Gym nyingi zina masseurs wa kiume,utajiju!

ukweli karibu na ukweli
 
anaweza kuwasaidia nao waone wivu waende gym!kuna mkaka tuliwahi kufanya nae kazi zamani,huwa anaenda kutafuta wadada gym.yy ana weigh 50kg nadhani,ila sasa hajawahi kufanikiwa nadhani instructors wanamzidi akili,lol
Hacha urongo usije fanya wame zetu watuzuie kwenda Gym buree.
 
Kalaghabao Speedo,mambo yote siku hizi kwa kina mama ni kwenye Gym.Kwa sasa zimetapakaa jiji zima,ukipata muda kachungulie ndani uone mibaba (inaitwa instructors) waangalie misuli ilivyovimbiana (wenyewe kina mama wanaita six pack).Sasa wewe Speedo ,usafiri wako makalio(gari),ukitoka kazini breki ya kwanza Rose Garden ,ni mikuku,mibia,mimbuzi,mimchemsho,ukitoka hapo nyumbani hotpot sharti uonje vinginevyo asubuhi mama chanja hamutaelewana,kisha hapo tumbo hiloooo,tumikono hutwooooo,tumiguu hutwoooo,utashindana kweli na 'six pack'?. Na kwa taaifa yako Gym nyingi zina masseurs wa kiume,utajiju!
Hahahaha lol
 
Kalaghabao Speedo,mambo yote siku hizi kwa kina mama ni kwenye Gym.Kwa sasa zimetapakaa jiji zima,ukipata muda kachungulie ndani uone mibaba (inaitwa instructors) waangalie misuli ilivyovimbiana (wenyewe kina mama wanaita six pack).Sasa wewe Speedo ,usafiri wako makalio(gari),ukitoka kazini breki ya kwanza Rose Garden ,ni mikuku,mibia,mimbuzi,mimchemsho,ukitoka hapo nyumbani hotpot sharti uonje vinginevyo asubuhi mama chanja hamutaelewana,kisha hapo tumbo hiloooo,tumikono hutwooooo,tumiguu hutwoooo,utashindana kweli na 'six pack'?. Na kwa taaifa yako Gym nyingi zina masseurs wa kiume,utajiju!

Noted with thanks!!!!!!!
 
Kwa mwanamke kwenda kununua mwanaume huwa si kazi rahisi na ndio maana utakuta kesi nyingi wanawake wanatoka na walewale wanaowazunguka either makazini, majumbani(walinzi, Houseboys) ndio wao wanaweza kuwarubuni. ndio maana wanaume wanasemaga mwanamke akiamua kufanya ubaya anafanya wa kuumiza zaidi ya mwanaume.All in all kununua ya nini wakati unaweza kuwa na wako peke yako?
ila kumbuka kuna wakati anaweza kuwa safarini kwa miezi kadhaa sasa hapo vipi dear!!!

by the way sijui wazo la kununua huduma litaanzia wapi kwenye ubongo wa mwanamke
 
ila kumbuka kuna wakati anaweza kuwa safarini kwa miezi kadhaa sasa hapo vipi dear!!!

by the way sijui wazo la kununua huduma litaanzia wapi kwenye ubongo wa mwanamke


merytina,
sentensi yako ya 1 na ya 2 mbona zinakinzana?
 
merytina,
sentensi yako ya 1 na ya 2 mbona zinakinzana?
sentensi ya 1 nilikuwa namkumbusha Suzie kuwa hata ukiwa na bf wako kuna wakati itatokea mko mbali kwa muda flani

ya pili nilikuwa namjulisha mleta sredi kuwa wanawake hatuwazii kabisa kununua huduma kama wafanyavyo wanaume.Tuna namna zetu ila sii hii ya come,f*** ,get pay and go.
naogopa kuingia kwenye mzozo wa kidiplomasia na wadada wa JF ningeweka wazi how we move around.
 
ila kumbuka kuna wakati anaweza kuwa safarini kwa miezi kadhaa sasa hapo vipi dear!!!

by the way sijui wazo la kununua huduma litaanzia wapi kwenye ubongo wa mwanamke
Merytina, unajua mpenzi wako anaweza safiri kwenda nje na usitembee na mtu, ni akili tu ukijiendekeza ndio utaishia kufanya haya, mie anasafiri sana nikifanya nimeamua sio kwamba nimeshindwa kuvumilia
 
sentensi ya 1 nilikuwa namkumbusha Suzie kuwa hata ukiwa na bf wako kuna wakati itatokea mko mbali kwa muda flani

ya pili nilikuwa namjulisha mleta sredi kuwa wanawake hatuwazii kabisa kununua huduma kama wafanyavyo wanaume.Tuna namna zetu ila sii hii ya come,f*** ,get pay and go.
naogopa kuingia kwenye mzozo wa kidiplomasia na wadada wa JF ningeweka wazi how we move around.
Mery sie watu wazima bana wewe mwaga tu hapa tuone
 
Merytina, unajua mpenzi wako anaweza safiri kwenda nje na usitembee na mtu, ni akili tu ukijiendekeza ndio utaishia kufanya haya, mie anasafiri sana nikifanya nimeamua sio kwamba nimeshindwa kuvumilia
Ni kweli dear!
mara nyingi ngono ni kujiendekeza.

ila hujasema how go about kufukia hisia zinapokujia-hili ndio la muhimu kuliko kukazania inawezekana inawezekana. (i hv my own mechanism inayonihakikishia udhibiti)
 
Hii thread ngumu kuchangia. Ngoja nika_google kutafuta madesa!
 
Ehhh atuambie tujue nia yake ndo tupate pa kuanzia!

LIZZ,
Lengo langu halikuwa kununua au kununuliwa.
Kama mwanaume nimekuwa nikikutana na wadada (wake za watu, wanafunzi na singles) tofauti tofauti katika kupiga stories, baadhi yao wamekuwa wakisisitiza kuwa wanapenda sana ku - "do" either na waume zao, B/Fs etc at least twice a week.
Kutokana na maelezo yao hao wachache, nikajifikiria mimi kuwa endapo nahitaji kupata hiyo huduma popote nitakapokuwa Tanzania (Mikoani kote) ni swala la mimi kuamua saa ngapi nifanye na wa aina (umbo/rangi/kimo/umri) gani kutimiza azma ya moyo kwa wakati huo.
Hapo ndipo likaja wazo, JE!!!! kwa wenzetu wadada, ni wapi wanaweza na wao kupata huduma kama sisi wanaume? (iwe kwa kugharamia au kutogharamia).
Nimetumia uzoefu wangu kuwakilisha wanaume wengine.
Nawasilisha
 
Kama mwanamke anaitaji sana ni bora atafute Toi Raha ajipe mwenyewe.
 
Nadhani wanaume wakiamua kujiuza kwa wadada na kuanzisha vituo kama Kinondoni makaburini, Jollies Club, Q Bar, Buguruni Sokoni, Sinza Africasana etc. kutakuwa na vurugu sana na badala ya kununuliwa nadhani wao ndio watatoa huduma na kulipa pia.

Ila kuna maeneo ya kujiuza kwa wadada (Massage centres) nadhani ipo haja ya wanaume kuanzisha hiyo huduma (call it any name) ili wadada na wao wajipooze inapobidi kuliko kungangania ma - house boy, walinzi, co-workers etc.

Nawasilisha
 
LIZZ,
Lengo langu halikuwa kununua au kununuliwa.
Kama mwanaume nimekuwa nikikutana na wadada (wake za watu, wanafunzi na singles) tofauti tofauti katika kupiga stories, baadhi yao wamekuwa wakisisitiza kuwa wanapenda sana ku - "do" either na waume zao, B/Fs etc at least twice a week.
Kutokana na maelezo yao hao wachache, nikajifikiria mimi kuwa endapo nahitaji kupata hiyo huduma popote nitakapokuwa Tanzania (Mikoani kote) ni swala la mimi kuamua saa ngapi nifanye na wa aina (umbo/rangi/kimo/umri) gani kutimiza azma ya moyo kwa wakati huo.
Hapo ndipo likaja wazo, JE!!!! kwa wenzetu wadada, ni wapi wanaweza na wao kupata huduma kama sisi wanaume? (iwe kwa kugharamia au kutogharamia).
Nimetumia uzoefu wangu kuwakilisha wanaume wengine.
Nawasilisha

Well kama unavyojua wanaume na wanawake wanatofautiana kwa kiasi kikubwa sana!!Kwa hiyo wanawake wengi kwa nnavyojua mimi akiwepo mwenzi ataburudika ipasavyo....asipokuwepo uvumilivu unatawala...kitu ambacho nyie hamna!
 
Back
Top Bottom