Wadada wasiovaa makufuli!

Mmmmh we utakua chaputa sio bure
hahahaa acha hzo basiii..... kwani kuna mtu anaye achaga Chaputa MOJA kwa moja ...watu huwa wanapumzika tu baada ya kuwapata wenzi wao wakudumu ..ila wakitibuana tu wanatejea kwenye CHAPUTA kama kawa
 
Jana nimeenda duka jirani kuchukua dawa ya mswaki . Si nikakutana na mzigo heavy. Si nikaanza kuufatilia kwa kuutadhmini. Mara najistukia nipo kinondoni B. Tokea Morocco na dawa yangu mkononi na kabukta kafupiii. Ni balaa !!
Mkuu ungeomba number
 
Hapa naona TANROADS wanahusika. Bila ya kuwa na abnormal permit huwezi kukatiza nayo hii ngoma barabarani

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hahaha na ukioa uwe na moyo mgumu
 
Umejuaje nauza bamia hapa kariakoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…